Fedha za MCC ni kusuka au kunyoa

Mirror X

Member
May 12, 2015
26
27
Kunyimwa fedha za MCC ni zaidi ya uchaguzi Znz na sheria ya mitandao. Hii ni vita baridi China vs Marekani.

Marekani iliiona Tz ndiye rafiki mkubwa Afrika Mash.tangu iachane na ujamaa na kukumbatia utandawazi na siasa ya vyama vingi ambazo ndizo Sera za Marekani.Ndiyo maana kila rais wa Marekani alipochaguliwa,alitembelea Tz. Afrika magh ni Ghana.Nchi hizi 2 ni kielelezo cha mafanikio ya Sera za Marekani ktk Afrika.

Kuingia kwa China Tz kumeleta balaa hili. China inaihitaji Tz kibiashara zaidi.Iwe lango la bidhaa/malighafi zake ktk Afrika..Ndiyo maana inafadhili ujenzi wa Bandar ya Bagamoyo yenye thamani ya matrilioni ya sh na kubwa kuliko ukiunganisha bandari za Mombasa name Dsm.

Marekani imeshaanza kuona Tz inalalia kwa China.Upepo wa Marekani dalili zinaonekana utakuwa kwa Kenya.Ikiwa itakuwa hivyo,tutegemee Tz kuanza kupondwa na mashirika mengi ya kimataifa ambayo kimsingi yanamtii Marekani.

Juzi nikasikia mtu 1 toka mashirika hayo akisema Tz bado mbali sana kufikia uchumi was Kati,wakati hayo-hayo hapo nyuma walitusifia Kuwait bado kidogo tu.

Kwa hiyo wakati Magufuli anajidhatiti kutafuta suluhu Znz,asitarajie fedha za MCC zinarejeshwa kirahisi hivyo.

Je,wakati huu ndio wakati mwafaka wa kufufua NCHI ZISIZOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE?
 
Nimeupenda uchambuzi wako,ngoja tuwasikilize wenye mawazo tafauti nao watasemaje
 
Kati ya mambo ambayo Rais 'dhaifu' jakaya alijitahidi sana kwny utawala wake ni ku balance ushawishi wa madola makubwa Duniani Marekani na Uchina.US ilijaribu sana kuishawishi Tanzania kufanya mambo mawili
1. Tanzania kuwa Base ya kijeshi ya Marekani kwny pembe ya Africa na Mashariki mwa Africa.
2.Kupeleka vikosi Vya kijeshi kusaidia Somalia.
Yote hayo mawili aliyakataa.
Kwa wanachokifanya sasa ni kutaka kumtikisa Ndugu Magufuli ili alainike akubali masharti yao kwa kigezo cha Zanzibar.
Sote tunajua issue ya Zanzibar sio union matter uchaguzi ni as Zanzibar wameusimamia wenyewe wamehujumu wenyewe na kuufuta wameufuta wenyewe.wanachokifanya ni jaribio la kutaka ku weka masharti ya MCC ili pia wachomekee ishu ya kuweka kambi zao na kushawishi nchi zote za EA ziingie vitani somalia na ikitokea Tanzania ikikubali basi liundwe jeshi la jumuia ya Africa Mashariki kama ilivyo Africa magharibi (Ecomog) kenya na Uganda tayarj zipo Somalia unasubiriwa Tz ili kusambaza vurugu za Somalia kote EA. Bora kukosa MCC tubaki salama na njaa zetu
 
Kati ya mambo ambayo Rais 'dhaifu' jakaya alijitahidi sana kwny utawala wake ni ku balance ushawishi wa madola makubwa Duniani Marekani na Uchina.US ilijaribu sana kuishawishi Tanzania kufanya mambo mawili
1. Tanzania kuwa Base ya kijeshi ya Marekani kwny pembe ya Africa na Mashariki mwa Africa.
2.Kupeleka vikosi Vya kijeshi kusaidia Somalia.
Yote hayo mawili aliyakataa.
Kwa wanachokifanya sasa ni kutaka kumtikisa Ndugu Magufuli ili alainike akubali masharti yao kwa kigezo cha Zanzibar.
Sote tunajua issue ya Zanzibar sio union matter uchaguzi ni as Zanzibar wameusimamia wenyewe wamehujumu wenyewe na kuufuta wameufuta wenyewe.wanachokifanya ni jaribio la kutaka ku weka masharti ya MCC ili pia wachomekee ishu ya kuweka kambi zao na kushawishi nchi zote za EA ziingie vitani somalia na ikitokea Tanzania ikikubali basi liundwe jeshi la jumuia ya Africa Mashariki kama ilivyo Africa magharibi (Ecomog) kenya na Uganda tayarj zipo Somalia unasubiriwa Tz ili kusambaza vurugu za Somalia kote EA. Bora kukosa MCC tubaki salama na njaa zetu

Unaweza kuona Kenya ilivyoathirika sana kwa kuingia Somalia. Nafikiri kama JK alikataa hili aliona mbali..nakumbuka wakati fulani JK akisema TZ haitakwenda Somalia ila inaweza kutoa mafunzo kwa Somalia wapigane wenyewe.
 
Kati ya mambo ambayo Rais 'dhaifu' jakaya alijitahidi sana kwny utawala wake ni ku balance ushawishi wa madola makubwa Duniani Marekani na Uchina.US ilijaribu sana kuishawishi Tanzania kufanya mambo mawili
1. Tanzania kuwa Base ya kijeshi ya Marekani kwny pembe ya Africa na Mashariki mwa Africa.
2.Kupeleka vikosi Vya kijeshi kusaidia Somalia.
Yote hayo mawili aliyakataa.
Kwa wanachokifanya sasa ni kutaka kumtikisa Ndugu Magufuli ili alainike akubali masharti yao kwa kigezo cha Zanzibar.
Sote tunajua issue ya Zanzibar sio union matter uchaguzi ni as Zanzibar wameusimamia wenyewe wamehujumu wenyewe na kuufuta wameufuta wenyewe.wanachokifanya ni jaribio la kutaka ku weka masharti ya MCC ili pia wachomekee ishu ya kuweka kambi zao na kushawishi nchi zote za EA ziingie vitani somalia na ikitokea Tanzania ikikubali basi liundwe jeshi la jumuia ya Africa Mashariki kama ilivyo Africa magharibi (Ecomog) kenya na Uganda tayarj zipo Somalia unasubiriwa Tz ili kusambaza vurugu za Somalia kote EA. Bora kukosa MCC tubaki salama na njaa zetu

Tukinyimwa misaada ndiyo tunaimarika na tutakusanya zaidi mapato ya ndani. Tumelemazwa sana na vijisenti vya wazungu. Tunataka wawekezaji kwenye viwanda misaada haitufikishi popote.
 
Ni matumaini yangu kuwa Magufuli hatatetereshwa na hivyo vijisenti vya masharti, yoyote yawayo.

Kupewa msaada na kupewa masharti ya ndani ya nchi yako ni zaidi ya utumwa.
 
Kati ya mambo ambayo Rais 'dhaifu' jakaya alijitahidi sana kwny utawala wake ni ku balance ushawishi wa madola makubwa Duniani Marekani na Uchina.US ilijaribu sana kuishawishi Tanzania kufanya mambo mawili
1. Tanzania kuwa Base ya kijeshi ya Marekani kwny pembe ya Africa na Mashariki mwa Africa.
2.Kupeleka vikosi Vya kijeshi kusaidia Somalia.
Yote hayo mawili aliyakataa.
Kwa wanachokifanya sasa ni kutaka kumtikisa Ndugu Magufuli ili alainike akubali masharti yao kwa kigezo cha Zanzibar.
Sote tunajua issue ya Zanzibar sio union matter uchaguzi ni as Zanzibar wameusimamia wenyewe wamehujumu wenyewe na kuufuta wameufuta wenyewe.wanachokifanya ni jaribio la kutaka ku weka masharti ya MCC ili pia wachomekee ishu ya kuweka kambi zao na kushawishi nchi zote za EA ziingie vitani somalia na ikitokea Tanzania ikikubali basi liundwe jeshi la jumuia ya Africa Mashariki kama ilivyo Africa magharibi (Ecomog) kenya na Uganda tayarj zipo Somalia unasubiriwa Tz ili kusambaza vurugu za Somalia kote EA. Bora kukosa MCC tubaki salama na njaa zetu
Kama sio union matter kwa nini unaingiliwa na vyombo vya Usalama? Yupo wapi Jecha?
 
Kitu cha msingi hakizungumziwi kwa nini? Chanzo ni kubakwa kwa demokrasia visiwani Zanzibar, kwani Zanzibar kuna amiri jeshi mkuu? So ni nani aliyeamrisha JWTZ waende kuzingira ofisi za ZEC? mnajifariji kwa uzalendo wenu uchwara wa kichovu.

Tunaona ukiukwaji wa tararibu za uchaguzi wa mameya kwenye almost kila manispaa au jiji lililopata kura nyingi za upinzani , huwezi kuwa safi halafu ukatetea uchafu mmejaza uchafu mioyoni na vichwani kutetea upuuzi, USA hawatuhitaji sisi kama sisi tunavyowahitaji wao, na huo ndiyo ukweli
 
Magufuli anajmagufuli anafahamu anahitaji sana huo msaada, marekani hawakunyimi tu msaada bali wanafunga fursa muhimu kwa nchi ili kukunyoosha, ndio maana ameamua kuanza mazungumzo, watu wanajisemea tu eti hatuhiji vijisent uongo mtupu.
 
Back
Top Bottom