Recent content by MIRIMA

  1. M

    Wazo la kukopa fedha benki

    Unakaa mkoa gani labda tuanzie hapo..mfano kuna badhi ya maeneo maisha ni nafuu..hapo ndio nitajua pakuanzia....kuna vyanzo vya mapato tofauti na mshara ?
  2. M

    Wazo la kukopa fedha benki

    Sikushauri ukope ununue gari kwa hicho kipato na idadi ya famililia yako, endelea kupanda daladala .Mama Samia akimaliza mitano kinaweza kufika 1m,hapo endelea kutokopa ..atakaye Ingia miaka kumi na kuondoka atakuacha 2m...hapo pia usikope ..ukistafu utapata 50m ..usikope ..SAVE ANZISHA MIRADI...
  3. M

    Tajiri wa Pi Network anaomba nimrudishe kazini

    Sio chai wazee wa pi wame addicted kama wenye football analysis na aviater
  4. M

    Tajiri wa Pi Network anaomba nimrudishe kazini

    Hahaha Kuna mwamba tukonae,daily wimbo wa pai namna atakavyokuwa "young bilioner " tunasubiria Pi iteme na ana mpango wa kuacha kazi baada ya Pi kutema
  5. M

    Mbunge Musukuma nae ni kati ya watunga sera na sheria za nchi yetu?

    Kama wabunge wameshindwa kubadilisha sifa ya mtu kugombea Ubunge kutoka kujua kusoma na kuandika, kuzungumuza kiswahili na kingereza ,ili sifa ya kugombra bunge kiwe na thamani. Acha Msukuma awadhalilishe hao wabunge wasomi ,sheria za kuiba kuta wanabadilisha kila siku lkn sheria ya...
  6. M

    Nijuzeni utaratibu wa kusitisha bima ya afya kwa wanandoa

    Suluhisho akate yeye mwenye bila kutegemea makato kutoka mishara ya mwanamke
  7. M

    Udogo wa daraja la mto mzinga ambalo ni kiunganishi muhimu kwa wilaya ya temeke na mkuranga, vipi mamlaka zetu hazioni?

    Nyie Nyie mnatia huruma, sasa nyie mpewe nini mbadilike MMMBUNGE WENU NDIO WAZIRI WA UJENZI,NA KWAKWE NI MLAMLENI TU NA ANATUMIA HIYO NJIA AKIENDA KWAKE WAKATI WA KUOMBA KURA JAPOKUWA KWA SASA ATAKUWA ANAISHI OSTERBAY/MIKOCHENI/MBWENI
  8. M

    Kuna watu wamezoea shida mpaka kuziona kama ni raha

    Mzee watanzania hawapendi ukweli.... Na ukisema ukweli wanakuona unaringa.. Umesema ukweli , Mimi kwa upande wangu nachukia maisha ya hovyo najua Kuna siku nitatoboa
  9. M

    Binamu yangu na safari hadi ya kuwa mtendaji

    Mawasilino na binamu Mimi....Hongereni binamu kwa uchaguzi huko nyumbani. Binamu....Asante ndugu yangu ,nilikuambia hatuwezi kukubali kutangaza mpizani hata kama ameshinda. Binamu....Zengwe tulianza mapema hata kabla ya uchaguzi au huangali taarifa ya habari huko mjini. Mimi....Nimewaona...
  10. M

    Mama wa watoto 8 atorokwa na mumewe, aomba msaada

    Mimi kwa upande wangu napinga kuzaa hovyo hovyo bila kuwa na uwezo wa kuwahudumia , Badae watoto wanateseka
  11. M

    Ndungai ulipaswa kuwa kama Gachagua, Naibu Rais wa Kenya , unaondolewa kibishi sio kuwahi kujiuzulu baada ya kupigwa mkwara kidogo

    Mkuu Rais hana Malaka wa kumwodoa Ndungai..Ndungai ilikuwa aondolewe kama njia inayoendana na iliomtoa Gachagua...Bunge ndio wanamamlaka wa kumwondoa spika..hiyo inajulikana hata ka sisi tusiyosoma sheria..
Back
Top Bottom