ndugu wana JF,
Naomba kwa mara ya kwanza niwahabarishe kile kinachoendelea kwenye Mahakama ya Wilaya Masasi,hususani kesi zinazohusiana na vurugu zilizotokea tareehe 26/01/2013,maarufu kama kesi za MABOMU.kwa kifupi vurugu hizo zilianzia kwenye kituo kikuu cha polisi hapa masasi,kati ya...