kwani mbona mnatumia nguvu nyingi kunadi zito?chama chetu kina utaratibu mzuri wa kupata viongozi,kwa sasa DR hana mpinzani mwacheni ajenge chama .mda ukifika kama ataonekana kupwaya basi atapewa mwingine na inawezekana asiwa zito,kwani kila mwanachama ana nafasi ya kuwa kiongozi endapo atakidhi vigezo vya chama na sifa za kuwa kiongozi