Barney and friends,,from jimjam channel ya dstv,pia kuna free apps unaeza kudownload kwa ajili ya mtoto,kuna za wanyama,matunda,numbers,food and everything,uzuri wa hizi apps ni mtoto anafundishwa hata namna ya kutamka,
Na kuna kingine kinaitwa tax invoice,document unayopewa mara baada ya kuandikiwa proforma then ukakubaliana na zile bei then unataka kununua vile vitu but kwa mkopo mara nyingi na malipo hufanyika kwa cheque (si mara zote),,,na kuna kitu kinaitwa delivery note,,ni document inayoonyesha idadi ya...
Petty cash ni cash inayotengwa na ofisi kwa ajili ya matumizi madogo madogo ya ofisi,cash sale mauzo yanayofanyika kwa kulipa fedha taslim na si kwa mkopo,,proforma invoice ni document inayoandikwa wakat unaenda kuuliza bei za vitu fulani,,kabla kufanya manunuzi,mara nyingi unaandikiwa km...
Simba wa Serengeti na wa Mikumi wote simba tu. Hiyo kazi ya kutofautisha mtafanya huko Kilimanjaro, sisi tunajua wachaga ni wachaga tu...
Mbavu zangu mieeeeeee!!!uwiiiiiii!!!
Licha ya bank nyingi kuwa na interest kubwa,bt wao wanategemea unakopa kwa ajili ya kuinvest kwenye kitu ambacho kina profit/return ambayo to some extent itapunguza makali ya makato,tunachokosea watu ni unakopa personal loan,ambayo mara nyingi riba yake ni 20 percent,na muda wa marejesho ni...
Ugaidi ni ushetani,,km unaua kwa kudanganywa eti umeifia dini na Mungu ndio utaiona pepo unapotea,,na kamwe hutaiona hiyo pepo,,coz hatufiki mbinguni kwa kuutoa uhai wa mtu asiye na hatia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.