Hakuna haja ya mgombea wa nafasi yeyote ile toka chama cha CUF wala umoja wa Ukawa kushiriki ktk uchaguzi huo. Hao viongozi wa vyama vingine nje ya Ukawa waache tu waendelee na harakati zao kwani hao ndio wslionunuliwa ili ionekane kama vyama vimekubali kushiriki uchaguzi huo . Pia hongela...
Ni vigumu sana ktk nchi hii kufahamu kwa nini kuna Ewura na wanafanya kazi kwa manufaa ya nani hasa kwani kila siku kazi yao ni kukubali ongezeko la malipo ya Umeme. Maji na bidhaa nyingine lakini haijatokea mtu wa chini akatetewa na hao Ewura kupunguza bei hizo dhambi zilizofanywa na wezi wa...
Mh Warioba wa Tanzania walikuthamini sana wakati ule ulipokuwa ukiipigania ile Katiba iliyopendekezwa na wananchi hata pale ulipofanyiwa fujo na DC Makonda walio wengi tulimlaani kijana huyu; lakini baada ya wewe kubadilika na kuipinga katiba ile uliyoitafuta kwa karibu miaka miwili na zaidi...
Sisi wengine tulisema zamani kuwa hiyo ni vinyo mpya ktk chupa ile ile ya zamani tukaambiwa kuwa hatupendi maendeleo sasa mtayaona mengi tu ya kushangaza yakifanyika ktk hawamu hii ya kazi tu
Haya ni mambo yanayohitaji uelewa mpana sana juzi tuu waziri wetu Muhongo alikuja na habari ya kununua umeme toka Ethiopia wengi hatukumuelewa leo tena anakuja na kuuza hisa za Tanesco nashindwa kuelewa mawazo na mipango hiyo anaibuni yeye binafsi au kuna wengine nyuma ya pazia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.