Recent content by Mipakayunte PC Anta

  1. M

    Kwaheri lowassa jaribu tena 2020

    Vigezo vya 5 bora CCM, na watakaokidhi kwenye mabano 1.KUKUBALIKA- Edo/ Membe 2.Uwiano Bara/ Visiwani- Bilal 3. JINSIA- Migiro 4. UCHAPAKAZI- Magufuli/ Edo 5. Mawaziri- Nchemba/ Wassira/ Magufuli/ Pinda Kwa vigezo hivyowatu watatu watakuwa tano bora; Edo, Migiro na Bilal nafasi ya nne na...
  2. M

    Utafiti REDET 2015: Lowassa, Dr. Slaa waongoza mbio za Urais

    Mnachopinga nini? Lowassa kuongoza? Sasa mlitaka aongoze nani? Mbona hamjakana Dk. Slaa alivyooongoza kwa upinzani? The reality is, all of you that shout here are nobody. Those in power knows the reality! And the system is worried by the challenge Lowassa might bring when he becomes the...
  3. M

    Utafiti REDET 2015: Lowassa, Dr. Slaa waongoza mbio za Urais

    Tumechoka na upumbavu wa wazushi na imbecile people. Huyo anayetaka matokeo tofauti anajichukulia yeye kama watanzania wote? Je Lowassa kawaagiza hata waandishi wahoji raia wanaompenda yeye? Leo ktk taarifa ya habari tumeona watu waliohojiwa wamemtaka Lowassa, nao waliandaliwa?
  4. M

    Lowassa: Nimeishafunga magoli ya urais

    Ni ujinga kutangaza ufisadi wa mtu wakati huna maelezo yasiyo na mashaka juu ya tuhuma zake. Wanadamu wana kawaida ya kumhurumia mtu anayetuhumiwa katika makosa yasiyoeleweka. Lowasa atashinda urais kutokana na huruma za wananchi na ninyi waropokajimtabakia kumwita fisadi huku akiudhibitishia...
  5. M

    Dongo la Wassira kwa Makongoro ni aibu kwa Kiongozi mwandamizi kuwaza mawazo tegemezi

    Ni kweli kuwa Makongoro hajapewa nafasi sana kwenye ofisi za Tanzania. Kwa maelezo yake mwenyewe alisema ''mke wangu aliniambia nisihame CCM nikamwambia wewe ni hakimu una ajira, CCM hawanitaki ngoja nikatafute kazi'' Makongoro anatafuta kazi ambayo haihitaji qualification ila wazimu wa wapiga kura.
  6. M

    Mkakati wa kuihujumu CHADEMA Kanda ya Ziwa huu hapa.

    Tunajua na tumejiandaa kukabiliana na huo ujinga. Ameshughulikiwa msaliti papa sembuse hao dagaa?
  7. M

    Watanzania tusiwe kama nyumbu kwa CHADEMA

    Si kila kitu kinafananishwa na jambo lingine na kusadifu taswira halisi! Mbona hamshangai kitu cha kipekee kupata Uhuru kwa Tanganyika pasipo kumwaga damu tofauti na kwingineko Afrika? Kama upekee huo ulitokea, basi tutaiweka CHADEMA na kufanikiwa!
  8. M

    Ombi langu kwa Viongozi wa CHADEMA

    Nakweli, jamaa amekua frustrated na umaskin, yeye anapigana na matajiri ila si viongoz waliokosa utashi wa kuwaondoa wananchi ktk magumu yao. Mama huruma huyu!
  9. M

    Ombi langu kwa Viongozi wa CHADEMA

    Tutakuwa pamoja na mtu anayethamini juhudi zetu za kusaka mabadiliko kupitia CHADEMA moja! Hatutampa nafasi kinyamkera anayekipaka chama matope ili aonekane yeye ni muhimu kuliko wengine wote! Abezaye harakati za CHADEMA ana mizizi ndani ya CCM
  10. M

    Dhambi yenu ya Udini ndiyo inawafanya kuisakama CHADEMA

    Ni wazi kuwa chuki zetu dhidi ya watu wa dini nyingine zimekuwa msukumo wa kuwalaumu watu wasiokuwa na imani sawa na zetu kuwa ni wadini! Chadema kivp ni wadini? Lini wameweka kigezo cha dini ili uwe mwanachama? Ubaguzi wetu kwa wakristo ndio tatizo
  11. M

    Magazeti Habari Corp Yameanza Kumjenga Lowassa na Kubomoa CHADEMA!

    Tatizo ni wanahabari. Kama utakumbuka Kikwete alisifiwa mno muda mfupi kabla hajawa Rais kiasi cha kudhani angefanya makubwa kuliko hata Mkapa! Hata uwanja wa mpira uliojengwa na Mkapa ukafanywa kuwa wa Kikwete. Nadhani maslahi yakaadimika ghafla, le
Back
Top Bottom