Ombi langu kwa Viongozi wa CHADEMA

Ombi langu kwa Viongozi wa CHADEMA

Usipate shida kamanda, mawazo yako ni sawa na ya tulio wengi, Mbowe anastahili kuendelea kuongoza jahazi kwa sasa chini ya Dr Slaa, hakuna mwanachadema anayempinga Mbowe kwa jinsi anavyochapa kazi ya kukijenga chama, wanaopinga ni propanganda kutoka ccm, wameona nimwiba kwao, wasivyo na akili eti, waliwekeza kwa kitoto kidogo kama Zitto kiue Chadema, ndio maana tumekipiga chini, mbowe atapumnzika uongozi lakini sio sasa, bado anahitajika, uenyekiti hatupeani kama bagia, tunapima uwezo wa mtu.

mwanamakambako nimekusoma Vizuri sana Kamanda, Habari za Makambako!
 
Last edited by a moderator:
Naomba Kuwasilisha Makamanda..."TULIANZA NA MUNGU, HAKIKA TUTAMALIZA NA MUNGU" Nayakumbuka Maneno ya Mhe.Mbowe:"Nikianguka Kwa Kupigwa Risasi, Msinililie, Endelezeni Mapambano Kudai haki za Wanyonge Wenzetu" naye Mhe.Lema akiwa Namanga Dar Es Salaam:"CCM na Serikali yao Wanavunga Wahuni, Dawa ni Kuwa Muhuni zaidi yao". KILA LA KHERI MPAKA KIELEWEKE.

Acha akili za kimasikini wewe mbowe ana nyumba dubai ,usa na south afrika ukipigwa wewe risasa hasara kwa familia yako yeye anakula bata tu wangapi wamekufa huko arusha na hamna kitu kilichobadirika,think about it its for your own benefit,usipumbazwe na akili za wanasiasa angalia kenya watu waliuwawa lakin viongoz wanakula bata,
 
Usipate shida kamanda, mawazo yako ni sawa na ya tulio wengi, Mbowe anastahili kuendelea kuongoza jahazi kwa sasa chini ya Dr Slaa, hakuna mwanachadema anayempinga Mbowe kwa jinsi anavyochapa kazi ya kukijenga chama, wanaopinga ni propanganda kutoka ccm, wameona nimwiba kwao, wasivyo na akili eti, waliwekeza kwa kitoto kidogo kama Zitto kiue Chadema, ndio maana tumekipiga chini, mbowe atapumnzika uongozi lakini sio sasa, bado anahitajika, uenyekiti hatupeani kama bagia, tunapima uwezo wa mtu.

Mbowe hafai kwa sasa,anafaa kuongoza wachaga wenzake huku kigoma hatumtaki kama unabisha basi ajaribu aone.
 
Viongozi wa Chama Changu awali ya yote napenda Kusema Poleni Kwa Majukumu ya Kupambana Kwa niaba yetu Wanyonge wa Taifa hili. Kwa Majina naitwa "Francis Boniface" (24yrs) ni Mkazi wa Kijiji cha Nyansurura hapa Serengeti Mara, pia Mimi ni Katibu Mwenezi wa Chama changu (CHADEMA) ndani ya Kata yetu ya Nyansurura Inayoongozwa na Chadema.

Kabla Sijaeleza Ombi langu, Kwanza natoa Pongezi za Dhati Kwa Viongozi wangu wa Chama Ngazi ya Taifa Kwa Upendo, Hekima, Busara, Umoja na Mshikamano wao Katika Kuijenga na Kuieneza Taasisi hii Iliyobeba Matumaini ya Wanyonge wa Taifa hili. Lakini Kubwa zaidi natoa Pongezi Kwa Mhe.Mbowe Kwa Jinsi anavyoepukana na Wabaya wake Wanaomchoma Mikuki ya Maumivu Ili Kumkatisha tamaa.

OMBI:Viongozi wangu wa Chama, nawaomba sana, Kwanza:Mhe.Mbowe aendelee Kuwa Mwenyekiti Uchaguzi ujao. Pili:Hakikisheni Mnajikita zaidi Kupambana na Maswala ya Kitaifa, huku Mkizipa Kisogo Propaganda za akina "Mwigulu" ambao Wanasumbuliwa na tatizo la Presha ya Kumwona Mhe.Mbowe akiwa Mhimili wa Chama.

Nakubaliana kabisa na ushauri wako kamanda. Kwa kuongeza nadhani ni bora kusevu tu hizo gharama za uchaguzi ili zielekezwe kwenye kampeni za kuchukua dola 2015.
 
We mnyonge Fransis utiifu wa namna hii sio wakati wake ktk karne hii! Ndio maana unajiita mnyonge embu jitambue kwanza, mahaba yaliyopitiliza ni janga.
 
Mungu akulinde sana kamanda wetu mkuu Mbowe. Tunakuhitaji sana kwenye chama mpaka 2015 na kuendelea. CHADEMA NI MSINGI ndio kazi yetu kamanda. Ni mwendo wa nyumba kwa nyumba katika kuandikisha wanachama wapya kwa chama.

Tatizo ni kwamba mnaomtaka Mbowe awe Mwenyekiti wa maisha hata kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama hampo.Sijui mtafanikishaje mipango yenu?
 
Huyo mwenezi ni mnfiki na mtu anaye jipendekeza kwa mbowe haujui kama mbowe ni mwenyekiti mbowe ni afisa ugavi wa chadema mbowe ni bank ya kuikopesha cdm mbowe nianatumia pesa za ruzuku kumkopesha slaa cdm ina maofisi mabaya sana za mkoa na wilaya wakati kazi za ruzuku nikuhudumia chama mbowe hafai kapisa na aondoke sisi wanachama ambao siyo wakasikazini tu team up na tumupigie kura ya kumukataa na tusimamie katiba ya vipindi viwili
 
Viongozi wa Chama Changu awali ya yote napenda Kusema Poleni Kwa Majukumu ya Kupambana Kwa niaba yetu Wanyonge wa Taifa hili. Kwa Majina naitwa "Francis Boniface" (24yrs) ni Mkazi wa Kijiji cha Nyansurura hapa Serengeti Mara, pia Mimi ni Katibu Mwenezi wa Chama changu (CHADEMA) ndani ya Kata yetu ya Nyansurura Inayoongozwa na Chadema.

Kabla Sijaeleza Ombi langu, Kwanza natoa Pongezi za Dhati Kwa Viongozi wangu wa Chama Ngazi ya Taifa Kwa Upendo, Hekima, Busara, Umoja na Mshikamano wao Katika Kuijenga na Kuieneza Taasisi hii Iliyobeba Matumaini ya Wanyonge wa Taifa hili. Lakini Kubwa zaidi natoa Pongezi Kwa Mhe.Mbowe Kwa Jinsi anavyoepukana na Wabaya wake Wanaomchoma Mikuki ya Maumivu Ili Kumkatisha tamaa.

OMBI:Viongozi wangu wa Chama, nawaomba sana, Kwanza:Mhe.Mbowe aendelee Kuwa Mwenyekiti Uchaguzi ujao. Pili:Hakikisheni Mnajikita zaidi Kupambana na Maswala ya Kitaifa, huku Mkizipa Kisogo Propaganda za akina "Mwigulu" ambao Wanasumbuliwa na tatizo la Presha ya Kumwona Mhe.Mbowe akiwa Mhimili wa Chama.

umetumwa!!!!. wewe unajua misingi ya demokrsia au unabwabwaja tu. kura ndizo zitakazompa ridhaa au laa!. unamuombea kura wakati haujafika!! pumb..... kifalanga wewe.
 
Viongozi wa Chama Changu awali ya yote napenda Kusema Poleni Kwa Majukumu ya Kupambana Kwa niaba yetu Wanyonge wa Taifa hili. Kwa Majina naitwa "Francis Boniface" (24yrs) ni Mkazi wa Kijiji cha Nyansurura hapa Serengeti Mara, pia Mimi ni Katibu Mwenezi wa Chama changu (CHADEMA) ndani ya Kata yetu ya Nyansurura Inayoongozwa na Chadema.

Kabla Sijaeleza Ombi langu, Kwanza natoa Pongezi za Dhati Kwa Viongozi wangu wa Chama Ngazi ya Taifa Kwa Upendo, Hekima, Busara, Umoja na Mshikamano wao Katika Kuijenga na Kuieneza Taasisi hii Iliyobeba Matumaini ya Wanyonge wa Taifa hili. Lakini Kubwa zaidi natoa Pongezi Kwa Mhe.Mbowe Kwa Jinsi anavyoepukana na Wabaya wake Wanaomchoma Mikuki ya Maumivu Ili Kumkatisha tamaa.

OMBI:Viongozi wangu wa Chama, nawaomba sana, Kwanza:Mhe.Mbowe aendelee Kuwa Mwenyekiti Uchaguzi ujao. Pili:Hakikisheni Mnajikita zaidi Kupambana na Maswala ya Kitaifa, huku Mkizipa Kisogo Propaganda za akina "Mwigulu" ambao Wanasumbuliwa na tatizo la Presha ya Kumwona Mhe.Mbowe akiwa Mhimili wa Chama.

Naomba Kuwasilisha Makamanda..."TULIANZA NA MUNGU, HAKIKA TUTAMALIZA NA MUNGU" Nayakumbuka Maneno ya Mhe.Mbowe:"Nikianguka Kwa Kupigwa Risasi, Msinililie, Endelezeni Mapambano Kudai haki za Wanyonge Wenzetu" naye Mhe.Lema akiwa Namanga Dar Es Salaam:"CCM na Serikali yao Wanavunga Wahuni, Dawa ni Kuwa Muhuni zaidi yao". KILA LA KHERI MPAKA KIELEWEKE.

Tupo nyuma yako jemadari wetu mkuu katika vita hii kuu ya kumng'oa Nduli CCM. Usikubali wakutoe kwenye lengo cz wanaona dili lao na Zitto imekula kwao sasa ndo wamehamia kwako kwa mbinu za kukuchafua mbele ya jamii. Usiwe na wasiwasi ilimradi tu muendelee kushikamana na Dr Slaa na kamati kuu. Sisi na mwendo wa CHADEMA NI MSINGI mpaka kieleweke.

Haya maneno ya maana sana kamanda, Mbowe ni Mwamba usiotikisika....

Mungu akulinde sana kamanda wetu mkuu Mbowe. Tunakuhitaji sana kwenye chama mpaka 2015 na kuendelea. CHADEMA NI MSINGI ndio kazi yetu kamanda. Ni mwendo wa nyumba kwa nyumba katika kuandikisha wanachama wapya kwa chama.

Ninachowaomba viongozi wa chadema ni pamoja na kuanzisha m4c ya nguvu toka kusini mpaka kaskazini, magharibi mpaka mashariki. Pia anzisheni media zenu za chama!

Usipate shida kamanda, mawazo yako ni sawa na ya tulio wengi, Mbowe anastahili kuendelea kuongoza jahazi kwa sasa chini ya Dr Slaa, hakuna mwanachadema anayempinga Mbowe kwa jinsi anavyochapa kazi ya kukijenga chama, wanaopinga ni propanganda kutoka ccm, wameona nimwiba kwao, wasivyo na akili eti, waliwekeza kwa kitoto kidogo kama Zitto kiue Chadema, ndio maana tumekipiga chini, mbowe atapumnzika uongozi lakini sio sasa, bado anahitajika, uenyekiti hatupeani kama bagia, tunapima uwezo wa mtu.

Peoples............. Mpaka kieleweke. Chadema inapaa ccm chali kama mende kazima network zake.tanzania bila ccm tutaishi kwa amani na upendo

ACHENI UNAFIKI CHAMA cha kijani yanawahusu nini ya CHADEMA. WAJInga msiotumia akili zenu mnaendeshwa tu kama misukule

Mimi kama mzee wenu niliye mshauri zi.tto z .ka.bwe awe na tabia njema ya kutokukisaliti chama makini cha chadema akakataa kutokana na tamaa ya fedha!.

"nasema hivi nina imani kubwa na katibu mkuu na m/kiti wa chadema taifa mdogo wangu freemani mbowe hadi mungu ananishangaa!

"hizi ndizo silaha kali kwa mafisadi wa c.c.yem,kila siku wanaomba mbowe na slaa wafe bila kujua maombi yao ni ya kishetani na chadema ni mpango wa mungu"


vijana wangu wa bavicha mpooo, nikisema peoplessss kwa pamoja tunitikia .......

Kuanzia sasa freemani mbowe na dk. Slaa nawavika nishani bora ya uongozi uliotukuka.

Mbowe na slaa nawapa heshima ya uchifu wa wagogo wote tanganyika.

Nilizaliwa kichadema,ninaishi kichadema, na nikifa nizikeni kichadema.

mwanamakambako nimekusoma Vizuri sana Kamanda, Habari za Makambako!

CHADEMA imejitenga na wakina Yuda.
Itafika mbali

Nakubaliana kabisa na ushauri wako kamanda. Kwa kuongeza nadhani ni bora kusevu tu hizo gharama za uchaguzi ili zielekezwe kwenye kampeni za kuchukua dola 2015.

Tatizo ni kwamba mnaomtaka Mbowe awe Mwenyekiti wa maisha hata kwenye Mkutano Mkuu wa Taifa wa Chama hampo.Sijui mtafanikishaje mipango yenu?

Hii ni aina nyingine ya uduni wa fikra wenye kukosa utambuzi wa kupambanua nani mkombozi wako na nani mchumaji kupitia mgongo wako.

Mnapiga kelele sana, mnapiga mayowe mno lakini historia na ukweli wa wazi kabisa ni kwamba hakuna, narudia tena haijawahi kutokea fisadi, mfanyabiashara halali na haramu akawa mtetezi wa wanyonge mahali popote pale duniani.

Mbaya zaidi ni kuwa, ni watu tu wenye akili duni, uelewa butu, masikini wa fikra na wenye mtazamo finyu wa masuala ya siasa na ukombozi ndio pekee wanaokuwa na mtazamo wa kukombolewa na Mbowe.

Kinyume na hivyo ni wale wenye mahitaji binafsi kutoka kwa mbowe lakini vilevile wale walioathiliwa na undugu, ukabila na ukanda ndio waumini wa mbowe.

Kataa ukubali ni haki yako; ukweli ni kuwa CHADEMA itaongoza Taifa la Tanzania lakini si chini ya uongozi wa mbowe na slaa.

Nalog off
 
Last edited by a moderator:
Haya maneno ya maana sana kamanda, Mbowe ni Mwamba usiotikisika....

nimeipigia kura chadema ktk chaguzi zote kuu ila kwa sasa naomba nikiri wazi imani yangu dhidi ya uongozi wa juu imetetereka sana, haswa kwa kamanda mbowe.
maombi yangu ni kwamba aondoke KWA NAMNA YOYOTE kama kiongozi mkuu wa chama ili tupate aliye bora zaidi kuiletea taasisi mabadiliko tuyatakayo 2015!
vinginevyo 2015 ni mkoloni mweusi tena....................
 
Tutakuwa pamoja na mtu anayethamini juhudi zetu za kusaka mabadiliko kupitia CHADEMA moja!

Hatutampa nafasi kinyamkera anayekipaka chama matope ili aonekane yeye ni muhimu kuliko wengine wote!

Abezaye harakati za CHADEMA ana mizizi ndani ya CCM
 
Hii ni aina nyingine ya uduni wa fikra wenye kukosa utambuzi wa kupambanua nani mkombozi wako na nani mchumaji kupitia mgongo wako.

Mnapiga kelele sana, mnapiga mayowe mno lakini historia na ukweli wa wazi kabisa ni kwamba hakuna, narudia tena haijawahi kutokea fisadi, mfanyabiashara halali na haramu akawa mtetezi wa wanyonge mahali popote pale duniani.

Mbaya zaidi ni kuwa, ni watu tu wenye akili duni, uelewa butu, masikini wa fikra na wenye mtazamo finyu wa masuala ya siasa na ukombozi ndio pekee wanaokuwa na mtazamo wa kukombolewa na Mbowe.

Kinyume na hivyo ni wale wenye mahitaji binafsi kutoka kwa mbowe lakini vilevile wale walioathiliwa na undugu, ukabila na ukanda ndio waumini wa mbowe.

Kataa ukubali ni haki yako; ukweli ni kuwa CHADEMA itaongoza Taifa la Tanzania lakini si chini ya uongozi wa mbowe na slaa.

Nalog off

unaweweseka bure,kachukue tu buk 7 yako mkono uende kinywani!
 
Usipate shida kamanda, mawazo yako ni sawa na ya tulio wengi, Mbowe anastahili kuendelea kuongoza jahazi kwa sasa chini ya Dr Slaa, hakuna mwanachadema anayempinga Mbowe kwa jinsi anavyochapa kazi ya kukijenga chama, wanaopinga ni propanganda kutoka ccm, wameona nimwiba kwao, wasivyo na akili eti, waliwekeza kwa kitoto kidogo kama Zitto kiue Chadema, ndio maana tumekipiga chini, mbowe atapumnzika uongozi lakini sio sasa, bado anahitajika, uenyekiti hatupeani kama bagia, tunapima uwezo wa mtu.

kamanda mlio wengi akina nani - mie mwanaCDM damu ila nasema mbowe sasa basi, inatosha!!!!!!
 
Ni aibu kwa chama kumtegemea mtu mmoja tu wakati wapo wengi wenye sifa. Ruhusuni siasa za ushindani
Unataka ushindani gani tofauti na kushindana na CCM kuing'oa Madarakani???????????????????????.
 
unaweweseka bure,kachukue tu buk 7 yako mkono uende kinywani!

wakati Nchaby akijaribu kufafanua akili duni, uelewa butu na masikini wa fikra HAKIKA alikuwa akilenga watu wa aina yako!!
ukweli ni kwamba tupo wanaCDM kibao tu tusiomkubali mbowe na bado hilo halituondolei kuwa wanaCDM, usilazimishe watu wote wafikiri kwa matakwa yako!
vijana wengi tunaamini ktk mabadiliko, ila pia baadhi ya watu tunaamini mbowe HANA uwezo zaidi ya hapo alipo hivi sasa....hivyo tunaamini ktk kamanda mkuu mwenye mawazo mapya kuelekea uchaguzi mkuu mwakani.
 
Back
Top Bottom