Recent content by Mipa Chinduli

  1. Mipa Chinduli

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya upatikanaji wa sindano(chanjo) ya tetenus(pepopunda)

    Wakuu habari ya sahizi, ninandugu yangu kachomwa na msumari jana jioni, ikabidi twende kituo vituo vya afya ili apate sindano ya tetenasi. Katika hali ya kushangaza tangu jana hadi leo tunahangaika hospitalI na zahanati mbalimbali za serikali na private, wilaya ya temeke hatujapata hiyo...
  2. Mipa Chinduli

    JamiiForums Tanzania Unamuacha Ajib unamchukua Ulimwengu??hatuko seriasi

    Amunike kama Asseum tu wanaupepo kimazabemazabe timu zimetoboa...tusubili tuone yaliyomo yamo?
  3. Mipa Chinduli

    JamiiForums Tanzania Hii ipo sana bongo

    Tanzania ndio nchi ambayo unaweza kufa na njaa alafu kwenye msiba wako likapikwa pilau kila mtu na sahani yake..wanaita (mchele coka)..
  4. Mipa Chinduli

    JamiiForums Tanzania Ukimpinga Allah katika hili unaweza leta furaha maishani mwako

    Hakika akhy, kumdhania mtu kwa kile kisicho thabiti si sawa kabisa "mathalani unaamini bibi kizee ni mchawi, kisa wanawe na vitukuu vyake vimetangulia mbele ya haki" Allah atuhifadhi.
  5. Mipa Chinduli

    JamiiForums Tanzania Nani anaweza akaniambia huyu ni mnyama gani..?

    Mbona mimi sioni mnyama?? naona kikapu cha pakacha..au mnamzungumzia T.I.D kaanza biashara ya pakacha.
  6. Mipa Chinduli

    JamiiForums Tanzania Ila Zahera anatuoanaga wajinga sana na uongo wake kuhusu Congo,angalia huu uwanja wa ligi kuu

    Duh, si kama kiwanja chetu tunachopigia ndondo...
  7. Mipa Chinduli

    JamiiForums Tanzania Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

    Kheri hii mechi inapigwa mda mmoja, laiti mechi ya Cape verde ingetangulia alafu lesotho wameshinda...taifa(uwanjan) tungeenda wapenzi wa football.
  8. Mipa Chinduli

    JamiiForums Tanzania Nashauri hizi jezi za Taifa Stars zipigwe marufuku kabla ya kesho kuepuka sumu ya udini hapa nchini

    Hivi kwa mfano tunashinda na Lesotho wanashinda kule ca'verde, je ofa itatolewa au ofa itafanyiwa mazishi?
  9. Mipa Chinduli

    JamiiForums Tanzania Clouds fm kuangaza live mechi ya simba na As vita.

    Nasubiri kumuona mbwiga akitangaza kama kina jese john.
  10. Mipa Chinduli

    JamiiForums Tanzania Please Tusaidieni Mimi na Mke wangu tunaumwa fangus kwenye nyeti kwa muda mrefu bila kupata

    Pole sana mkuu, kuna vidonge vinaitwa septrin nilinunua vya buku vinakuwa 10, nikavisaga vikawa unga kabisa nikachanganya na mafuta ya mgando "baby care" ya 400tsh (25g) nikawa napaka kila nikioga...bro nilitumia 1400 tu, ndani ya wiki 3 nilipona kabisa tangu December hadi leo hakuna cha...
  11. Mipa Chinduli

    JamiiForums Tanzania Sitaki kuwa mnafiki, Simba atafungwa Taifa

    Tuwekane sawa kidogo mtoa mada sio Vital ni Vita(AS Vita).
Back
Top Bottom