Mipa Chinduli
Member
- Jan 15, 2019
- 11
- 6
Wakuu habari ya sahizi, ninandugu yangu kachomwa na msumari jana jioni, ikabidi twende kituo vituo vya afya ili apate sindano ya tetenasi.
Katika hali ya kushangaza tangu jana hadi leo tunahangaika hospitalI na zahanati mbalimbali za serikali na private, wilaya ya temeke hatujapata hiyo sindano.
Je! hii sindano imekuwa adimu kiasi hiki au hii changamoto tunakutana nayo sisi tu?
Katika hali ya kushangaza tangu jana hadi leo tunahangaika hospitalI na zahanati mbalimbali za serikali na private, wilaya ya temeke hatujapata hiyo sindano.
Je! hii sindano imekuwa adimu kiasi hiki au hii changamoto tunakutana nayo sisi tu?