Please Tusaidieni Mimi na Mke wangu tunaumwa fangus kwenye nyeti kwa muda mrefu bila kupata

Mhh umesema hawakuwapima waliwapa tu dawa?..
Asiee hii ni hatari

Kapimeni wote
Wanaume sijui mtapimwa nini ila Mkeo akapime atakachoambiwa ,HVS High Vaginal Swab na afanye hadi ultra sound

Zingatia usafi sana na kukaa ukiwa mkavu..tumia toilet paper/tissue mda wote
Acha kutumia maji ya vyoo usivyoviamini wala sabuni za watu
Acha Sukari..ni rafiki wa yeast infection
 
Pole sana mkuu, kuna vidonge vinaitwa septrin nilinunua vya buku vinakuwa 10, nikavisaga vikawa unga kabisa nikachanganya na mafuta ya mgando "baby care" ya 400tsh (25g) nikawa napaka kila nikioga...bro nilitumia 1400 tu, ndani ya wiki 3 nilipona kabisa tangu December hadi leo hakuna cha fangasi wala vidudu gani..
 
Mkuu, asante sana kwa maelezo mazuri

Ila kwenye suala la usafi, tunazingatia sana.

Kuhusu ukavu, huwa kuna poda tunapaka inaitwa mycodem, hiyo inafanya panakua kavu muda wote.

Kusema kweli hadi nimekata tamaa kabisa maana nafuata yote haya kiuangalifu bila mafanikio

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupaka poda wewe, ndo unazidisha ugonjwa unatakiwa uwe mkavu naturally sio unajidanganya na poda. Poda inakudanganya wewe kwamba ni mkavu lakini kwa fungus hiyo ni host

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Korodani zangu zinakua na burning (joto kali). Hazina mabaka yoyote, ngozi haitoki toki.. Yaani ukiziona kwa macho unaweza kusema hazina shida yoyote.

Ila zinawasha balaha.

Hiyo dawa uliyonitajia hapo ni cream mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tumia neno Pumbu badala ya korodani, ila pole sana.
Anza kula matunda mengi sana pamoja na alkaline drinks ili ufanye mazingira ya ndani yasiwe na mvuto kwa fungus, paka sana ile white field daily hata mwaka mzima, utajishangaa umepona, osha pumbu zako kila siku kwa bicarbonate of soda, au kwa jina sodium bicarbonate, wakina mama hupenda sana kupikia maandazi na keki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kutoa shukrani zangu kwa wachangiaji wote ambao wamejitokeza kumsaidia mwenzetu mwana jamvi kwa mawazo na ushauri. Hata sisi tumejifunza kutokana na hayo maelezo. Tunashukuru sana. Mimi naweza ongezea kuwa wafanye culture test ingawa hosp. zetu wanaweza ambiwa waende Regency lakini hakuna namna.
Yeye anaishi Tanga, mkuu fungus upeleke hadi regency?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amen.

Usiache maombi, sio maombi ya kusihi bali maombi ya VITA yaani Pangua izo Fungus kama unapangua GIA.

Mimi natamka uponyaji hapo kwenye tatizo, ukapate uponyaji wako kila utakapolala usiku nq uponyaji wako ukamiminike humo. Amen, pokea kwa Jina la Yesu.

Takasa maji yako ya kuoga kwa Damu ya Yesu kila siku kabla ya kuoga wewe na Mkeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuwa mwanga wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kutoa shukrani zangu kwa wachangiaji wote ambao wamejitokeza kumsaidia mwenzetu mwana jamvi kwa mawazo na ushauri. Hata sisi tumejifunza kutokana na hayo maelezo. Tunashukuru sana. Mimi naweza ongezea kuwa wafanye culture test ingawa hosp. zetu wanaweza ambiwa waende Regency lakini hakuna namna.
Hii nchi bhaana ina shida sana,kila mtu ni mjuaji. Halafu ujuaji wa nyuma ya keyboard. Yaani unasema muhimbili hawana vifaa ila vipo regency!?? Dah...labda tu kwa kukusaidia mkuu,hakuna hospital hata moja ambayo angalau inaikaribia muhimbili kwa kila kitu. Hao regency wenyewe wanapeleka muhimbili. Huyu alishafika muhimbili halafu unataka arudi tena nyuma!?? Rufaa ya muhimbili ni ya nje ya nchi.

Ukishindwa kutibiwa muhimbili km hujapewa rufaa ya kwenda nje,we rudi kwenye maombi tu usubiri miujiza...!! Ww unazungumzia regency!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi bhaana ina shida sana,kila mtu ni mjuaji. Halafu ujuaji wa nyuma ya keyboard. Yaani unasema muhimbili hawana vifaa ila vipo regency!?? Dah...labda tu kwa kukusaidia mkuu,hakuna hospital hata moja ambayo angalau inaikaribia muhimbili kwa kila kitu. Hao regency wenyewe wanapeleka muhimbili. Huyu alishafika muhimbili halafu unataka arudi tena nyuma!?? Rufaa ya muhimbili ni ya nje ya nchi.

Ukishindwa kutibiwa muhimbili km hujapewa rufaa ya kwenda nje,we rudi kwenye maombi tu usubiri miujiza...!! Ww unazungumzia regency!??

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa kunielimisha ila mimi nilikuwa na matatizo nikaenda Muhimbili ilikuwa mama yangu RIP ana vidonda wakatuambia twende Regency na tukapeleka majibu Muhimbili ndo maana nasema ni kwa uzoefu nilioupata. Sipendi kuongezea maana hata mgonjwa alishatangulia mbele ya sheria.
 
Ni hivi huu ugonjwa umenisumbua mimi tangu 2011 nimefanya jitihada zote za matibabu lakini nikitumia cream ndio naongeza tatizo la hili balaa nilichoamua ni kuacha kutumia dawa kabisa, na kuzingatia usafi wa hari ya juu yaan naogea sabuni ya jamaa na kujikausha vzuri angalau sahivi niko vizuri sana kama ikitokea muwasho basi ujue kumeingia unyevu kwenye korodani cha kufanya acha kutumia medicated soap za aina zote, husiweke kitu chenye kuleta unyevu sehem za siri oga kutwa mara tatu na jikaushe vizuri utaona mabadiriko makubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu. Ninaomba unieleze exactly direction ya kwenda kwake
Ni Dermatologist Bingwa, ana experience ya miaka 35+ masuala ya Ngozi, clinic yake wanapima pia Allergy na hilo suala la Fungus pia nenda na mkeo mkamuone atajua yy awape dawa gn kulingana na tatizo lenu. kumuona kwa mara ya kwanza ni 30,000. Anapatikana siku 4 tu ndani ya wiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani mkuu
Mhh umesema hawakuwapima waliwapa tu dawa?..
Asiee hii ni hatari

Kapimeni wote
Wanaume sijui mtapimwa nini ila Mkeo akapime atakachoambiwa ,HVS High Vaginal Swab na afanye hadi ultra sound

Zingatia usafi sana na kukaa ukiwa mkavu..tumia toilet paper/tissue mda wote
Acha kutumia maji ya vyoo usivyoviamini wala sabuni za watu
Acha Sukari..ni rafiki wa yeast infection

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom