Wakuu naandika uzi huu kwa masikitiko makubwa kwa hawa Jamaa wa LETSHEGO/FAIDIKA kwa tabia zao ya dharau na kutowajali wateja wao kwa kuwadanganya na kuwachukulia kama watoto kwa kutokuwapatia Wateja wao Salio la mikopo yao/debt settlement letter pale wanapotakiwa kulipwa Fedha zao kwa mkupuo...
TCRA wanastahili pongezi kwa kusimamia sheria kwa maslahi mapana ya watanzania wote ambao tunatofautiana kipato,Uhuru wa kupata habari upo kwenye katiba ya nchi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.