Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,412
- 18,085
Ngoja wajeBasic salary = 716000
PAYE = 86000
NHIF= 21500
HESLB loan = 107000
NMB loan = 260000
CWT = 14300
Kinachobaki majanga.
TUNASOMA NAMBA
Ngoja wajeBasic salary = 716000
PAYE = 86000
NHIF= 21500
HESLB loan = 107000
NMB loan = 260000
CWT = 14300
Kinachobaki majanga.
TUNASOMA NAMBA
Nipe michongo niibukeNjoo ubebe boksi kiwanja ukusanye mnyamwezi 2000 kwa mwezi!
CWT wanapesa kwa kweli?sasa iyo 14300 munawapa kwa kazi gani wanayoifanya?Mkuu, to be specific.... Hapa naona nikama umemkokotoa mwalimu pekee
Sema maisha ya mwalimu,mana ukisema watumishi wa umma wapo wanaokula salar M 2 hadi 20Basic salary = 716000
PAYE = 86000
NHIF= 21500
HESLB loan = 107000
NMB loan = 260000
CWT = 14300
Kinachobaki majanga.
TUNASOMA NAMBA
Mkuu umeniuliza swali gumu sana, maana binafsi sijawahi kujua hata vile chaki vyenye inatumiwaCWT wanapesa kwa kweli?sasa iyo 14300 munawapa kwa kazi gani wanayoifanya?
Utakuwa karibia maana saa hvi hata road waendesha magari wameongezeka sanaMshahara ushatoka nini,maana hizi ndiyo tarehe zenu za kujidaia!
Kama hawawezi kuacha hizo kazi basi watulie tu...Ingawa hii itawachona hadi kwnye mfupa, lakini najua wapo watakao kubeza na kukuona snich kwa kuwachana ukweli huu mchungu
Haufiki nyumbani unaishia kulipia madeni, then unaanza kukopa tena.Mshahara ushatoka nini,maana hizi ndiyo tarehe zenu za kujidaia!
Hapo una mke na mtoto unafikiri madeni yanakwepeka?Mie nalia na walimu tu jamani. Hakuna waajiriwa wenye madeni kama walimu. Maduka yoote ya mangi wanadaiwa ile mbaya. Wakipokea mishahara baada ya siku 3 wananza kulia njaa.
Bora mie niliye jiajiri
Bila mkopo maisha yanaendaje ?Sio lazima uchukue Mkopo wa NMB.
Umenifikirisha.mtu mwenye akili zake kamili hawezi kufanya kazi ambayo kwa mwaka mzima anaingiza pesa mara 12 tu then siku nyingine zote 353 anatumia halafu bado anawaza mafanikio,idiots!
Tuelekezane mkuu, deals wapi hizo?Njoo ubebe boksi kiwanja ukusanye mnyamwezi 2000 kwa mwezi!
Akifelisha anafukuzwa au kuhamishwa, refer jangwani girls. Ukitema moto ukimeza moto.Mwalimu anashindwa kufelisha wanafunzi wote ili aonekane kuwa ana umhimu kwenye jamii.
Safiri. ..panga safari ukitoe. Bongo ni kwetu lakini gozi gozi sanaaa. ..marekani. Canada. ..ulaya. .pigana kadri unavyoweza uchomoke mkuu. ..20 yrs later utakuwa njema sana. Narudia tena Bongo ni kwetu lakini lazima tuende masafa ya mbali kutafuta. ..Tuelekezane mkuu, deals wapi hizo?