Mzungu hajawahi kumpenda au kuipenda Africa kutoka moyoni. Lazima ujiulize mara mbili mbili. Strings attached hapo. Aids with conditions. Siyo bure, tena mbaya zaidi. History keeps repeating it self, kama Thomas Sankara
Ndo nilichofanyaga kipindi nipo single kabla ya kukutana na wife wangu, niliamua hela zangu nitumie kwangu mwenyewe. Kula sana bata, enjoy sana. Sometimes nikijua natoka na ntakunywa sana na acha gari yangu nachkuwa ya mchizi yyte, na mwekea wese dereva yeye mwenyewe. Una realize unatupa pesa...
Hahaha nliwahi kuwa na demu wa pande hizo, ilkuwa niowe. Dah. Mzee nilichimba, nashukuru sana MUNGU, maana ningejuta. Yani aliniokoa sana. Ndoa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
No love man, ili usipate shida accept it an move on. Hata kama mzuri vipi bob, fanya maamuzi magumu. Kikubwa ww uwe na amani, jua utapata mkali zaidi yake. Sometimes unashikilia mabalaa, mikosi au kujicheleweshea mafanikio. Story yangu fupi nlikuwa na demu si mkali sana ila nilimpenda kwa moyo...
Ila kwa hizo text ni kuwa demu kashafanya maamuzi, kashachoka mahusiano. Ila anaona noma kusema ukweli kuwa basi so anamtega ili ajivuruge apate pakutokea. Women bwana acheni kabisa. She dsnt wanna be the frst to leave. Guilt
Kama yeye ndo bread winner je? Maana kuna vijana sikuhizi wazembe sana, wanapenda wanawake wenye hela/uwezo.
Ila kama anaznguwa tafuta chombo kali zaidi. Trust me atarudi analia hata hela atataka kumpa huyo demu mpya ili akuache mrudiane. I can relate.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.