Inahitajika nyumba ya kupanga songea karibu na mjini maeneo ya mahenge/ffu.. chumba sebule na jiko self au vyumba viwili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi inategemea sehem unayotokea kabla ya kuanza ajira mpya na kituo chako cha kazi... kama unatokea sehem ilipo kituo cha kazi (mfano upo dar, na kazi itakua dar) kwa kawaida utasubiri tu mshahara mwisho wa mwezi
Ila kama unapotokea ni tofauti na kituo cha kazi ndio ofisi nyingi hulipa...
Kwenye picha inaonekana kuna 'add-ons' nyingi (TV guard, subwoofer, hdmi cable)... Hivyo vinaenda na TV yoyote? Au picha hazina uhusiano na post
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni swali very common kwenye interviews so ukienda interview ni heri ujiandae kulijibu, usipoulizwa ni heri tu
Mara nyingi kampuni zina viwango vyao vya mishahara kwa different positions zikiwa kwa range depending na kiwango cha taaluma na uzoefu wa mwombaji
Linaulizwa walau waone applicant...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.