Pamoja na hayo yote our late beloved president alipendwa na kila Mtanzania mwenye akili timamu. Mnaomchukia na kumwita mwovu mpimwe uwezo wenu wa kufikiri. Huyuhuyu mnaemwabudu anaupiga mwingi si ndiye aliyetuaminisha uwepo wa gaidi hapa Tanzania. Au nae mnasubiri Mungu aamue ugomvi waramba...
Umejuaje yote haya brother kama si story zs kutunga. Huu ndiyo muda sahihi wa yeye kuachia ngazi. Madudu kila mahali na wananchi tumemchoka. Nchi imemshinda hii anabak kuimpress msoga.
Kwa wale tunaofnya usaili tarehe 30 ngazi ya degree. Usaili unafanyida dar sehem gani maana nimeona unafanyika DPA sjaelewa location sababu mi mgeni hili Jiji
Katika hili mwendazake hahusiki. Mpango ungekuwa umesukwa toka mwanzo mashahidi upande wa JMT wasingekuwa wanajichanganya kiasi kile. Hapo mama yenu alivuruga hadi akakimbilia kutoa msamaha kitu ambacho kwa kesi hatari kama hiyo hakipaswi kufanywa.
Hata mbowe nae alipwe fidia kwa kusoteshwa mahabusu na huyo mzurulaji.
Hata iweje, kiutendaji mwendazake was the best. Sema tu ni vile watanzania ni wasahaulifu na ni wajinga pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.