Ukristo na Uislamu navijua toka mtoto. Ukristo nimeuishi, ila kuna vitu nilivyozidi kukua nikaanza kutokuendana navyo.
Uislamu pia nimewahi kuujua, lakini ukweli sijawahi kuvutiwa na baadhi ya mafundisho yake wala lifestyle ya Muhammad. Ndiyo maana kwa sasa nimevutiwa na Buddhism na nataka...
😂😂😂😂Hapo umenipa homework nyingine. Kuhusu kuchomwa , bado sijafika huko mkuu.
Kwa sasa nataka kwanza nijue Buddhism ni nini, meditation, teachings na namna Buddhist anaishi. Mambo ya mwisho wa safari tutayajadili baadaye.😅
Asante sana mkuu. Hii ndiyo information niliyokuwa natafuta. Nitaanza kwa kufika Mindu na kuongea na viongozi wa temple. Nikifanikiwa kupata maelekezo mazuri nitashare hapa.
Nimevutiwa sana na story ya Gautama Buddha na nimeamua kutaka kujifunza kuhusu Buddhism kwa lengo la kujiunga na kufuata mafundisho yake.
Kwa sasa sioni Ukristo wala dini yangu ya asili ikinipa matokeo ninayoyatafuta zaidi ya matumaini, hivyo nimeamua kutafuta njia nyingine ya kiroho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.