Recent content by mimi mtakatifu

  1. mimi mtakatifu

    Je, unazijua dini nyingine zaidi ya Ukristo na Uislamu?

    Dunia ni zaidi ya uislam na Ukristo. Wanaofahamu mtupe elimu
  2. mimi mtakatifu

    Sehemu gani naweza kujifunza kunyoa hapa Tanzania?

    Ni kitu tunakifanya kienyeji so mambo ya college hata mimi naskia leo
  3. mimi mtakatifu

    Sehemu gani naweza kujifunza kunyoa hapa Tanzania?

    Mhh kuwa serious basi Acha utoto
  4. mimi mtakatifu

    Je, unazijua dini nyingine zaidi ya Ukristo na Uislamu?

    Tuliozaliwa na kukulia bongo tukiambiwa kuhusu dini, akili yetu inakimbilia kufikiria kuhusu dini kuu mbili hapa nchi Ukristo na Uislam. Lakini, mbali na Ukristo na Uislamu, dunia ina dini nyingi. Uhindu Ubuddha Sikhism Uyahudi. Shinto Taoism Rastafarianism Dini za Kiafrika za asili E.t.c...
  5. mimi mtakatifu

    Kaka yake Humphrey Polepole athibitisha kutekwa kwa ndugu yake (Polepole) na mtu anayefahamika kama Mafwele

    Mlimuua Magufuli. Sasa mnamuua Polepole. Baadae mnakuja kulalamika watu wanachafua amani
  6. mimi mtakatifu

    Ajali Rufiji: Mwenyekiti wa CCM Kilwa na Wengine Watatu Wafariki, 28 Wajeruhiwa

    Kuna video kuhusu kilwa na vifo vya utata wakati wa uchaguzi. Nimeikunbuka
  7. mimi mtakatifu

    Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    Hapa sasa nimekuelewa maanaekwa lugha nyepesi unasema God is not fair. Ok nimesoma comments zako zote nazifanyia kazi.
  8. mimi mtakatifu

    Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    Nafanya sana kazi kwa bidiii sana sana pia nna thamini mno kazi nayopewa. Anyway haya nayoyasema hapa kwako ni theories hujui practical experience nna face nini.
  9. mimi mtakatifu

    Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    Nimeshaenda kwa waganga wengi 95% wanasema ni auntie yangu ndio alieyenifanyia hivi na nilishamchana live akaniweka ndani. So kuaguliwa nimizunguka ikashindikana wataalam wanasema alitumia mnyama mzito kufanya kafara nahitaji damu ya miguu minne hapo ndio niliachana na huo upande maana gharama...
  10. mimi mtakatifu

    Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    Pole nakuelewa sana. Wasioelewa hii hali uwa wanakuja na judgment nyepesi sana.
  11. mimi mtakatifu

    Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    Hii hukumu uliyonipa sio ya kweli. Mungu naongea nae kwa unyenyekevu mkubwa na kumuomba msamaha na kumtegemea ila hanisikilizi. Unasema waliofanikiwa ni walio karibu na Mungu sio kweli kuna watu hawaamini kabisa hata huyu Mungu kama yupo na wamefanikiwa mno kuliko wewe.
  12. mimi mtakatifu

    Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    At least wewe kuna kitu unakiona nje ya yale tumekalilishwa. Hizo laana sasa nani wa kuzitoa maana kama makanisani na mashekhe wamezishindwa inaamana Mungu nae kazishindwa?
  13. mimi mtakatifu

    Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    Nafanya kazi ngumu sana. Naifanya kwa bidiii kubwa kwa sababu ndio tegemeo langu. Ila bado naangaika na maisha ni magumu. Wakati huo Mungu ananitazama anionei huruma mpaka najiuliza mimi nilimkosea nini?
Back
Top Bottom