Tuliozaliwa na kukulia bongo tukiambiwa kuhusu dini, akili yetu inakimbilia kufikiria kuhusu dini kuu mbili hapa nchi Ukristo na Uislam.
Lakini, mbali na Ukristo na Uislamu, dunia ina dini nyingi.
Uhindu
Ubuddha
Sikhism
Uyahudi.
Shinto
Taoism
Rastafarianism
Dini za Kiafrika za asili
E.t.c...
Nafanya sana kazi kwa bidiii sana sana pia nna thamini mno kazi nayopewa. Anyway haya nayoyasema hapa kwako ni theories hujui practical experience nna face nini.
Nimeshaenda kwa waganga wengi 95% wanasema ni auntie yangu ndio alieyenifanyia hivi na nilishamchana live akaniweka ndani. So kuaguliwa nimizunguka ikashindikana wataalam wanasema alitumia mnyama mzito kufanya kafara nahitaji damu ya miguu minne hapo ndio niliachana na huo upande maana gharama...
Hii hukumu uliyonipa sio ya kweli. Mungu naongea nae kwa unyenyekevu mkubwa na kumuomba msamaha na kumtegemea ila hanisikilizi.
Unasema waliofanikiwa ni walio karibu na Mungu sio kweli kuna watu hawaamini kabisa hata huyu Mungu kama yupo na wamefanikiwa mno kuliko wewe.
At least wewe kuna kitu unakiona nje ya yale tumekalilishwa.
Hizo laana sasa nani wa kuzitoa maana kama makanisani na mashekhe wamezishindwa inaamana Mungu nae kazishindwa?
Nafanya kazi ngumu sana.
Naifanya kwa bidiii kubwa kwa sababu ndio tegemeo langu.
Ila bado naangaika na maisha ni magumu.
Wakati huo Mungu ananitazama anionei huruma mpaka najiuliza mimi nilimkosea nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.