mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 207
- 482
- Thread starter
- #161
Mkuu shukrani. Ila nilishajaribu kufanya hii manifestation mpaka kuandika michoro. Sasa ukimwambia mtu una kazi na hauna utapataje msaada?Unajua dunia iko tayari wakati wowote ule kuumpatia mtu kitu chochote kile anachotaka.
Dunia hii haijui mtu anayo kazi au hana kazi, ila sisi watu ndio tunaona mimi ninayo kazi au sina kazi. Sasa kama dunia hailioni hilo kwanini wewe watengeneza picha ya kuwa hauna kazi. Sasa kumbe wewe ndio gundu hilo unalolisemea.
dunia iko tayari kukupa hicho ulichokitamka au kukiwazia.
Kabla hujalala sema mimi nina kazi kubwa yenye mshahara mkubwa, ukiamka sema vivyo hivyo.
Kwakutamka hayo maneno unakuwa umekwisha tengeneza kazi katika ulimwengu usioonekana ambao ndio utakuja fanya manifestation kwenye ulimwengu ambao wewe unaishi.
Mtu akikupigia simu ukiulizwa vipi kazi mjibu nina kazi kubwa yenye mshahara mkubwa,
siweke any negativity unposema hayo maneno na wala usijione hauna kazi, wewe sahau kuhusu kazi tamka hayo maneno na uiachie dunia kazi yake yaku manifest hilo jambo.
Usije ukawa unasema hayo maneno alafu, unaulizwa vipi kazi unasema huna mara hupati mara unaweza hofu mara wasiwasi kwenye kupata kazi lazima utafeli.
Ask Believe Receive