Recent content by Mimi mstaarabu

  1. M

    Ni maeneo gani ambayo naweza kufanya biashara ya Printing?

    Naombeni msaada wa mawazo. Ni maeneo gani ambayo naweza kufanya biashara ya PRINTING? Katika maeneo niliotaja BANANA KITUNDA AIRPOT GONGOLAMBOTO GOMZ
  2. M

    Mbagala Mbande

    Statiknery je?
  3. M

    Je system ya RITA in tatizo?

    Hivi karibuni nimesajili vyeti vya kuzaliwa online na baada siku 14 unapata tangu siku uliyosajili na kulipia. Nina siku 24 tangu nmelipia system inaonyesha status ya cheti kwamba APPROVED IMna ilitakiwa iwe CERTIFICATE ISSUED SWALI LANGU: je system inasumbua au kuna tatizo?? Je nikienda rita...
  4. M

    Ukiwa na mashine za embroidery nawezaje kupata faida? Mashkne za kuprint tshirt mfano kamouni ya ricoma

    NAOMBA KUJUA FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA MASHINE HIZO KWENYE BIASHARA HII YA PRINTING. Vilevile naomba kujua ili nipate faida natakiwa niwe na raw material gani?
  5. M

    Wapi naweza kusoma maswala ya printing kwa vitendo?

    Nataka kujua fani ya digital printing kwa ukubwa zaidi nataka niprinti mifuko mabango na vingine vingi. Je ni wapi wanafundisha kozi hii na ni sh ngapi?
  6. M

    Ni zipi kozi fupi za Bandarini zinasaidia kupata kazi?

    Okayy kwa sasa nlikua natamani pia kusoma Graphic designing ila sijui hii kozi nitaisomea wapi hasa kwa vitendo
  7. M

    Ni zipi kozi fupi za Bandarini zinasaidia kupata kazi?

    Kuna mtu nmekutana nae mtandaoni kanambia we ikifika muda kasomee then nicheki ntakusaidia kwasababu hata mimi nipo
Back
Top Bottom