Recent content by Mimi mstaarabu

  1. M

    Mambo yanayoua ndoa, chukua tahadhari kabla

    Mimi niko kwenye situation hiyo. Nina uzuni muda wote na nanung’unika sana kwassbsbu kipato chake sometimes kidogo sometimes wateja hskuna hata week 3 hafanyi kazi.
  2. M

    Kinyerezi, Kifuru na Mbezi Mwisho wapi kuna mwamko sana? nataka nifanye biashara

    Habari wakuu, Nahitaji kufungua biashara maeneo hayo tajwa (eneo moja wapo) lakini sina uhakika ni eneo gani hapo limechangamka kwa ajili ya biashara? N pia fremu inaweza ikafika kiasi cha bei gani? *Nataka kufungua biashara ya vipodozi/urembo. PAMOJA NA BIASHARA YA STATIONERY
  3. M

    Nimeumia sana au Sina bahati

    AZNANDU USED SPARE PARTS📌 ▫️Wauzaji wa spare zote used za magari: Nissan,Toyota,Subaru,Mitsubish n.k kutoka Japan na Dubai. ▫️Tunapatikana Kariakoo, Shaurimoyo Street,Dar es salaam ▫️Tunatuma mizigo nchi nzima kwa umakini na uaminifu mkubwa🤝 ▫️Kwa mawasiliano: Whatsapp: 0659...
  4. M

    Car4Sale TUNAUZA SPARE PARTS ZA AINA YOYOTE ZA MAGARI MAKUBWA

    AZNANDU USED SPARE PARTS📌 ▫️Wauzaji wa spare zote used za magari: Nissan,Toyota,Subaru,Mitsubish n.k kutoka Japan na Dubai. ▫️Tunapatikana Kariakoo, Shaurimoyo Street,Dar es salaam ▫️Tunatuma mizigo nchi nzima kwa umakini na uaminifu mkubwa🤝 ▫️Kwa mawasiliano: Whatsapp: 0659...
  5. M

    Ni maeneo gani ambayo naweza kufanya biashara ya Printing?

    Naombeni msaada wa mawazo. Ni maeneo gani ambayo naweza kufanya biashara ya PRINTING? Katika maeneo niliotaja BANANA KITUNDA AIRPOT GONGOLAMBOTO GOMZ
  6. M

    Mbagala Mbande

    Statiknery je?
  7. M

    Je system ya RITA in tatizo?

    Hivi karibuni nimesajili vyeti vya kuzaliwa online na baada siku 14 unapata tangu siku uliyosajili na kulipia. Nina siku 24 tangu nmelipia system inaonyesha status ya cheti kwamba APPROVED IMna ilitakiwa iwe CERTIFICATE ISSUED SWALI LANGU: je system inasumbua au kuna tatizo?? Je nikienda rita...
  8. M

    Ukiwa na mashine za embroidery nawezaje kupata faida? Mashkne za kuprint tshirt mfano kamouni ya ricoma

    NAOMBA KUJUA FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA MASHINE HIZO KWENYE BIASHARA HII YA PRINTING. Vilevile naomba kujua ili nipate faida natakiwa niwe na raw material gani?
  9. M

    Wapi naweza kusoma maswala ya printing kwa vitendo?

    Nataka kujua fani ya digital printing kwa ukubwa zaidi nataka niprinti mifuko mabango na vingine vingi. Je ni wapi wanafundisha kozi hii na ni sh ngapi?
Back
Top Bottom