Ndugu majina hayapangwi ovyo ovyo kwa watoto inatakiwa ujue wasifu wa jina kabla ya kumpa mtoto kwani majina yanaweza kumletea athari mwanao au faida . majina mengine yanatumika kama kumbukumbu ya jambo fulani hasa zuri kwani wengi hawapendi kukumbuka mabaya,yapo majina yenye kusifu ibada za Ki...
Mwanamke akiamua akuendee kwa Kalumanzila hana sababu ya kuchukua chupi yako,anaweza kukuwekea kwenye maakuli au hata kwenye nyuchi zao wanakuwekea ndumba na unashikwa vizuri tu tena sikuiz mnavyojidai mnajua kubusu anakupakia hata kwenye lips ili unase kama umechomelewa kwa chuma cha pua
EXTRATORRENTS.CC ni kiboko ya websites zote kwani movies mpya zote utazipata kule,series na documentaries zinapatikana ila tatizo ni kwamba Unapo-download movie inatakiwa u-hide IP ADDRESS kwani inakua inaonekana na wenye haki miliki hivyo Unaweza kumbana na mambo ya LAW SUITS.Wataomba msaada...
Ni kweli kabisa hata huyo boda boda ametoa msaada tu kwa wafiwa na wala hakuangalia suala la pesa.Alikua na uwezo wa kukataa kwakua mjini wateja ni wengi sana lakini kaangalia shida walizonazo wafiwa
Kuto kuvaa chupi kunategemea size na jinsi gani PENIS yako iko active katika kushtuka hasa unapohisi matamanio ya kimapenzi,wanaume wengine huvaa chupi na boxer ili kuzuia nyeti zao zisiwe huru sana kwakua wapo wenye size kubwa zaidi na hao ndio naowazungumzia ili wewe mwenye size ya kawaida au...
Asilimia kubwa vijana hujiunga kwaya kwasababu ya vitu fulani wengine ndiko wanakoenda kufanyia uasherati kwakua ni rahisi kukubaliana kwakua muda mwingi wanakua pamoja.Enzi zangu wakati nimetawaliwa na tabia za kishetani nilikua muimbaji mzuri wa kwaya na nilipata kacheo fulani kanisani lakini...
Kusomesha mwanamke ni sawa na kujenga nyumba barabarani. Mwanamke hasomeshwi ndugu maana hawa kobe hawabebeki jamani nakumbuka nilisoma chuo fulani na mke wa mtu tena bwana ake tunafahamiana sana lakini mwanamke kwakua alikua mzuri basi alishindwa kukwepa vishawishi mara akaanza kufyatuliwa na...
Tatizo liko wapi? Kama yeye ndio huwa anafua chupi zako kwanini asizikague? Maana wanaume wengine tunajua kuvaa tu ila kufua hadi pupi unamwambia mke afue na kwakua anajua ni kazi yake basi hana budi kuzikagua. Wanaume hatuaminiki japo si wote huenda alipewa akili na dadake asikuamini sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.