ni sheria ipi inayosema ukiandama upigwe? ni sheria ipi inayompa mamlaka police kuamua kuwa juu ya sheria zote ikiwamo katiba ya nchi? ni sheria gani inayokuwa kubwa kuliko katiba ya nchi? najua hutajibu kwa vile huna uwezo kujibu maswali hayo.
Nchi ilishauzwa zamani sana na chama cha zamani(CCM). Kwani Tanzanite inapatikana wapi? kwani wenye dhahabu ya geita ni watanzania? au Wenye almasi ya Mwadui ni Watanzania, Vivyo hivyo itakuwa na gesi n.k. umechelewa sana ndugu yangu.
Kama ni hivyo basi nchi hii imeoza, maana mambo yote hayo yanafanywa na CHADEMA na wewe ushahidi unao, halafu hakuna kiongozi yoyote wa serikali hii CCM, anayestuka, kuanzia ya Ulimboka mpaka ya Warioba hakuna hata mtu yeyote ambae ashafungwa! Tukisema mnafanya uhalifu wenyewe tunakosea wapi?
shida kubwa, kubwa, kubwa, kubwa.... kwa vijana wa TZ, ni kutojua na kufikiri kuwa wanajua. kujua kunatokana na kujifunza basi! utawakuta vijiweni wanapiga kelele, lakini hawana maarifa ya kutosha. ndio haya ya CRDB.
shida kubwa, kubwa, kubwa, kubwa, kubwa,......... ya vijana wa Tanzania ni kutojifunza, na hivyo kutokuwa na taarifa za kutosha, LAKINI kwenye mijadala wamo! Sawa usijadili kuhusu kitu usichokuwa na taarifa nacho eeeh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.