Recent content by Mimi chuma

  1. M

    Polisi: Tumezuia maandamano ya CUF kutokana na silaha zilizoibiwa Ikwiriri Rufiji

    uhuni wake nini, wakati tangu 2002 wamekuwa wakiadhimisha siku hii?
  2. M

    Dr Slaa alaani kupigwa, kuteswa na kukamatwa Professor Lipumba

    ni sheria ipi inayosema ukiandama upigwe? ni sheria ipi inayompa mamlaka police kuamua kuwa juu ya sheria zote ikiwamo katiba ya nchi? ni sheria gani inayokuwa kubwa kuliko katiba ya nchi? najua hutajibu kwa vile huna uwezo kujibu maswali hayo.
  3. M

    Dr Slaa atoa salamu za Mwaka mpya...

    Ni vizuri sasa unaelewa kuwa dkt Slaa ni rais wa wote. Siku nyingine akipata mwaliko wa waislamu pia atahudhuria
  4. M

    Mbowe, Dr Slaa kukutana na wanahabari leo

    Nchi ilishauzwa zamani sana na chama cha zamani(CCM). Kwani Tanzanite inapatikana wapi? kwani wenye dhahabu ya geita ni watanzania? au Wenye almasi ya Mwadui ni Watanzania, Vivyo hivyo itakuwa na gesi n.k. umechelewa sana ndugu yangu.
  5. M

    Dr. Slaa ni mtu hatari sana, Hongera

    cd ya kale, huichoki tu? Mwenye mke mwenyewe ni nani? Acha wivu bwana. Ukipenda na wewe si ujilengeshe?
  6. M

    Swali: Kamati ya Bunge wana haki kisheria kuwapeleka Viongozi wa Serikali Polisi?

    Yalikuwa maigizo tu, polisi walikuwa tayari wanazunguka karibu na eneo la tukio.
  7. M

    Kama vijana walilipwa Tsh 50,000 kuvuruga kongamano Ubungo, wakipewa 50ml wataifanyaje nchi?

    Kama ni hivyo basi nchi hii imeoza, maana mambo yote hayo yanafanywa na CHADEMA na wewe ushahidi unao, halafu hakuna kiongozi yoyote wa serikali hii CCM, anayestuka, kuanzia ya Ulimboka mpaka ya Warioba hakuna hata mtu yeyote ambae ashafungwa! Tukisema mnafanya uhalifu wenyewe tunakosea wapi?
  8. M

    UVCCM/Makonda hawajampiga Jaji Warioba

    mbona hujajibu hoja?
  9. M

    Baada ya kusoma makala yake nikaisaka CV ya Njelu Kasaka

    shida kubwa, kubwa, kubwa, kubwa.... kwa vijana wa TZ, ni kutojua na kufikiri kuwa wanajua. kujua kunatokana na kujifunza basi! utawakuta vijiweni wanapiga kelele, lakini hawana maarifa ya kutosha. ndio haya ya CRDB.
  10. M

    Baada ya kusoma makala yake nikaisaka CV ya Njelu Kasaka

    shida kubwa, kubwa, kubwa, kubwa, kubwa,......... ya vijana wa Tanzania ni kutojifunza, na hivyo kutokuwa na taarifa za kutosha, LAKINI kwenye mijadala wamo! Sawa usijadili kuhusu kitu usichokuwa na taarifa nacho eeeh!
  11. M

    Utafiti: Wanachama wengi wa CHADEMA ni watu waliokata tamaa ya maisha

    Kwa hiyo ndio maana mnatumia kodi yetu, kufanyia utalii wa kuizungukuka dunia, badala ya kuboresha maisha yetu?
  12. M

    Mangula: Ndoa ya UKAWA ni feki

    Mangula bwana, mbona ameogopa kutaja mwaka 2010 walipata kura ngapi?
Back
Top Bottom