Mangula: Ndoa ya UKAWA ni feki

Mangula: Ndoa ya UKAWA ni feki

10404892_796209947078339_6089059070848531258_n.jpg
 
Mangula ni Mzalendo na Mtumishi mwaminifu kuliko genge lote la ukawa.
 
Wajifunze Kenya, CCM wanafikiri kwa masaburi aisee!
 
Mbona ameishia uchaguzi wa 2005 wa 80% au amesahau wa 2010 aone chama kinavyoporomoka kwa kasi ya ajabu.
 
Hivi vizeee vya ccm vina zeeka vibaya sana.Aendelee kuota tu.

*team ukawa*

Huyu Mzee si ndiyo aliwapa miezi sita wale wagombea waliopita kwa rushwa kwenye chaguzi za ccm kujiuluzu..! Sasa mbona imeshapita miaka amekaa kimya na anakuja kuibukia huku kwenye mambo ya ukawa ambayo hayamuhusu..?
 
Hivi vizeee vya ccm vina zeeka vibaya sana.Aendelee kuota tu.

*team ukawa*

Ndugu Mbona mnakuwa wajinga hivyo, sasa Hutu mzee kasema lipi la ajabu!! Yote aliyoyaweka hapa yametokea na yana ushahidi. Na pia ni kweli huu muungano unawapa ccm Upinzani wa wagombea wachache na uwezakano wa kushinda kwa urahisi
 
na nyie ruksa kuungana na ACT - tatizo kwani? mbona mmeushupalia sana muungano wetu??
 
Mbona mangula ajasema 2010 walishinda kwa asilimia ngapi?
 
CCM wanajifariji tu.lakini uwamuzi wa ukawa ni tishio kwao,tena kubwa
 
Mangula ni Mzalendo na Mtumishi mwaminifu kuliko genge lote la ukawa.

Kama ni mzalendo kwa nini asijiuzuru baada ya kushindwa lile agizo lake la kutoa miezi 6 eti waliopata uongozi kwa rushwa watavuliwa vyeo vyao ?.
 
MAKAMU Mwenyekiti Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula amesema, hatua ya vyama vya upinzani vya kundi linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuungana rasmi , Dar es Salaam si jambo jipya.

Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana, Mangula alisema hii si mara ya kwanza kwa vyama hivyo kuungana na kwamba hatua hiyo haitaweza kubadilisha uwezo wa chama tawala cha CCM.

Alisema mwaka 2000 waliungana katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam na kurusha njiwa na mara ya pili walikutana hoteli ya Travertine, Magomeni katika kikao chao cha ndani na kupeperusha bendera za kuungana.

“Katika kikao hicho nilialikwa…kila mmoja alikuwa na bendera na wakakubaliana kuungana,” alisema Mangula akisisitiza kuwa kama muungano huo utakuwa na nguvu ni mzuri, kwani hata Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema Tanzania inahitaji upinzani imara.

Alisema muungano huo wa Ukawa hauwezi kupunguza idadi ya mashina, matawi na hata kata zinazoongozwa na CCM, kwani hata katika matokeo ya uchaguzi kuanzia mwaka 1995, matokeo yake yako wazi kuwa hawakuweza.

Mangula alitoa mfano uchaguzi wa mwaka 1995 katika nafasi ya Urais, kwamba alishinda mgombea wa CCM kwa asilimia 61.8, mwaka 2000 mgombea wa CCM alishinda kwa asilimia 71 na mwaka 2005 kwa asilimia 80, jambo linaloonesha wazi kuwa muungano huo wa wapinzani, hauwezi kubadilisha chochote.

Aidha, alisema hatua hiyo ni faida kwa CCM, ambayo itakutana na wagombea wachache, wakiwania nafasi mbalimbali za uongozi katika chaguzi zijazo, jambo litakalowapa urahisi zaidi wa kuchuana.

Mangula alisema CCM inatoa ofa kwa Ukawa, kuwa endapo watashindwa kumpata mgombea wa ngazi ya Urais mwenye vigezo vinavyotakiwa, wao wako tayari kuwaazima ili kuweza kujaza nafasi hiyo.

Vyama vilivyoungana juzi ni Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD.


Chanzo: Habari leo

My take: CCM wanajifariji lakini sasa hivi wanahaha tu sababu wanajua mwakani ndio mwisho wao.

Ndio mnavyodanganywa na Disco Jocker!
 
Hivi vizeee vya ccm vina zeeka vibaya sana.Aendelee kuota tu.

*team ukawa*
Vizee vya CCM vimejitoa ufahamu ili viendelee kula kwa mikono miwili tena bila kunawa. Hiki kazee kinakumbuka wakati mgumu wa kulima nyanya na bado zilikoseshwa soko na mitandao ya CCM. Sasa amekubali kujitoa ufahamu na kuongea kama maccm mengine yaliyojitoa ufahamu.
 
Back
Top Bottom