Recent content by Mimah127

  1. Mimah127

    Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

    Samahan naomba mnijulishe kwa mweny diploma CPA ataisoma kwa miaka mingapi? Na ataanza level gan?? Na gharama zpoje?? Naombeni mnisaidie nijue na mim[emoji120]
  2. Mimah127

    Wenye ndoto ya Kusoma Abroad 2024 tukutane hapa kuitimiza

    Unakuw unalipiw au unalipa mwenyew hyo hela??[emoji3064]
  3. Mimah127

    DOKEZO Chuo cha CBE Dar boresheni Mifumo ya Ada na Matokeo, inatupa usumbufu sana

    Hili swala la ratiba washalirekebisha now unakuta kwa siku kipind kimoja
  4. Mimah127

    Watanzania tuchangamkie fursa. Soko la mayai ni kubwa sana

    Na watu huwa tunapuuzia Sana biashara za mifugo Kam kuku au ng'ombe, na ndiyo biashara zinazolpa. kuku unawez ukafuga wa mayai au wa nyama ukajiingzia kipato, na ng'ombe ni wa maziwa kwa san so tuchangamkie fursa[emoji3]
  5. Mimah127

    Nahitaji kujifunza saikolojia

    Mh unahitaj kujifunza au kuwa specialised na psychology??
  6. Mimah127

    Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    Kwa diploma anaweza kuapply??[emoji849]
  7. Mimah127

    Wauza kila kitu ili waishi wakisafiri kwenye meli maisha yao yote

    Yeah Titanic, [emoji23][emoji23][emoji23]Yani unarisk maisha yako!! Mh me itanishinda hii Kaz[emoji23][emoji23][emoji23]
  8. Mimah127

    Wauza kila kitu ili waishi wakisafiri kwenye meli maisha yao yote

    Yani ndonkikumbuk Ile meli kubwa ilyozamag kwa kugonga mwamba huwa nasema moyon ctapanda meli [emoji23][emoji23]
  9. Mimah127

    Wauza kila kitu ili waishi wakisafiri kwenye meli maisha yao yote

    Hivi Ile meli kubwa kulko zote, ilizamag kipind hiko,ili tengenezwa na wajeruman Kam sikosei mlishawahi kusikia historia yake??[emoji23]
  10. Mimah127

    Wauza kila kitu ili waishi wakisafiri kwenye meli maisha yao yote

    Mh[emoji23][emoji23] nahic tutakuwa wengi[emoji23]
  11. Mimah127

    Wauza kila kitu ili waishi wakisafiri kwenye meli maisha yao yote

    Wew n sawa na mim tu coz naogopa Bahar, Pia nkifkria mawimbi yanavyopta baharn upepo Yan ndonazd kuogopa[emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom