Kama CCM walidhani nchi hii bila wao hakuna maendeleo Muda ni huu sasa kwa UKAWAAAAAAAA unajisikiaje kundi la watu wakisema eti goli la mkono haya ni matusi tosha hata huyu Nape kusema hivyo anasubiri Oktoba, 25 kuona jinsi kundi la wajinga wanampa kura hasa jimboni kwake wapi CCM na hati ya...
Kweli kama aliyatamka haya kwanini uchunguzi uendelee badala ya kukamatwa huyu jamaa au anaogopwa kwa kuwa ni naibu katibu mkuu CCM? hii hali huenda alihusika moja kwa moja na kujua kuwa yeye ni kiongozi wa chama tawala basi hawezi kufanywa chochote. Kwa upande wangu sioni kama huwa kuna jambo...
Nmesoma post zenu juu ya mwanamke wa KIRANGI kama mnavyojua hata rangi yao kwa kuwa huwa ni weupe sana sasa hutumia rangi zao vibaya sana kwani hawana tabia ya kuwakataa wanaume siku zote wao huzani ni huruma. Kaka plz usijaribu hata kidogo ukajuta siku za mbele, angalia tabia zingine so general...
Mmmmmmh! huyu Mwingira sasa anautani na serikali hiyi ya Kidharimu kwani wamemfanyia nn tena au mashamba yake yamedhulumiwa kisha akaanza kuiona serikali ni mbaya????? mwache ataipata dawa yake!
Hii na mm pia nmeikubali kwani walioweng wakimwagwa au kuchunwa zaidi zao huwa ni madongo ambayo hayasaidii zaidi uchwala2, Madada endeleeni kula shule huyu hana jipya!
Waoooh! Kijana Lemma (MB) tema cheche ili kila neno utakalosema liwe mkuki kwa Mlongo (Muongo) kwani ukibaraka wake ndio unamfanya achukiue maamuzi ya Kipuuzi/kijinga
Haya mambo wanayoyafanya viongozi wa Arusha ni unyama ambao ipo cku utakwisha2. Naamini Mungu yupo nawe Mr Lemma (MB) atakutendea mengi makubwa "Endelea kusema ukweli na utapata Rehema zake mola hata akutangulie mbele katika uchaguzi wa 2015 uwe mshindi tena ili hawa CCM kiwaume zaidi kwani cku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.