Huyo aliesema njoo inbox alikuwa anazungumzia zile kazi zilizotolewa na JWTZ za afya ila wanahitaji Bachelor sasa mie nina Certificte kwa hiyo zimenipita kushoto
Habari kaka? Nilimaliza chuo 2016...nikafanya kazi Kondoa mwaka jana Tyma dispensary...then nikafanya kazi Maabara pekee Chamazi Dar badae nikahamia Dispensary pale Buguruni....
Nina miaka 25 , ninakaa Kahama- Shinyanga.....nipo natafuta kazi ya Maabara (Lab Assistant) nafasi ikipatikana nafanya sehemu yoyote ile.....0765 626 871
....vyeti na licence ninazo....
Nimempatia mtaani kwetu sio Jf...ana miaka 23yrs....maelezo mengi nimepunguza maana watu wasiojielewa wameanza kunitukana na kunipa majungu kisa tu nimebahatika kuwa na demu bikra....muandamne bac kama hamuani maana humu kuna mabingwa wa kupinga tu ..mnaboa
Nipo Dar nahitaji nafasi hii. Nimesomea Certificate..
Vigezo vyote vinavyotakiwa ninavyo. kwa mwenye kunihitaji tuwasiliane 0765 626 871.... eneo la kazi itapendeza zaidi ikiwa ni hapa hapa Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.