milton jackson
Member
- Apr 20, 2017
- 32
- 15
Huo mpango nimeachana nao kiukweli mchumba sahihi umtakae hawezi kutoka Jf
Bac jamani kila laheri
Bac jamani kila laheri
utasubiri mpk yesu arudiMambo vp? Hapa nilipo nipo Single ..nina miaka 25yrs natafuta mchumba wa kuoa.
Huyo bibie nataka awe na miaka 19-21...awe na sura nzuri...awe mkristo...Nina kazi yangu nzuri tu nimeajiliwa kwa hiyo usiwaze nitaishije naww...Naahidi kukuoa kwa ndoa ya Kanisani endapo kweli nitathibitisha uko na Bikra yako...Mimi mie natoka Kahama-Shinyanga 0765 626 871
Khaa... Hii kali sana ila hili ndio ndoto ya wanaume wengiMambo vp? Hapa nilipo nipo Single ..nina miaka 25yrs natafuta mchumba wa kuoa.
Huyo bibie nataka awe na miaka 19-21...awe na sura nzuri...awe mkristo...Nina kazi yangu nzuri tu nimeajiliwa kwa hiyo usiwaze nitaishije naww...Naahidi kukuoa kwa ndoa ya Kanisani endapo kweli nitathibitisha uko na Bikra yako...Mimi mie natoka Kahama-Shinyanga 0765 626 871
A matter of few seconds! Unenjoyable!Watanuna, ila tambua bikra ni ya siku moja tu
Nimekuelewa sana ndugu...AhsantehKhaa... Hii kali sana ila hili ndio ndoto ya wanaume wengi
With any luck unaweza ukapata lakini... Umri wa miaka 19-20 ni umri mbaya wa kuingia kwenye ndoa HASA YA KIKRISTO!
Kumbuka huyu hajaona mengi ya dunia
Kumbuka huyu hajaonja ladha tofauti tofauti za zakari
Kumbuka huyu atakuwa hana uzoefu wowote na mapenzi (shida na raha zake)
Kumbuka atakuwa na furaha sana ya kupata mume lakini sio guarantee ya kukupenda kwa dhati
Kumbuka kuna first love experience... Kupenda bila sababu (haya ni mapenzi mabaya kabisa) na inaweza kumtokea mmoja wenu, hasa yeye katikati ya ndoa... Usiombee hii kitu...
Ndoa ni gereza la hiari la mapenzi... Pata mfungwa aliyemaliza kifungo ama mtuhumiwa aliyekaa mahabusu... Huyu hatakusumbua
Mungu mkubwa unaweza kupata umtakayeNimekuelewa sana ndugu...Ahsanteh