Nimekuwa nikikutana na dem wangu kwenye siku zake za hatari lakin hakupata mimba, lakin uwezo wa kubeba mimba anao na mimi uwezo wa kufetilize ninao, sasa hapo tatizo linakuja wapi?
Prof.Muhongo nikiongozi bora maana ameweza kwenda sambamba na speed ya JPM,Tatizo la watanzania wachache hawapendi kuona Tz inasonga mbele,inasimama yenyewe kwasababu kuna illegal benefits alikuwa anapata kupitia mladi fulan au nduguye ametumbuliwa,sasa jaman hivi ni vibaya wanyonge kama cc...
Akijiunga na jeshi la polisi atakuwa shart kwanza attend recruit course ya polisi,then atapangiwa majukumu ya taaluma yake,kupanda cheo ataanzi nyota moja yaani mkaguzi msaidizi,,mshara wake basic salary 860,000tsh atalipiwa nyumba ,ujuzi alionao,priority ya kusoma utegemea na priority ya jeshi...
Wakati wa kuikomboa nchi kutoka kwenye mikono ya wakoloni weusi na weupe maranyngi kunaibuka chamgamoto nyingi sana maana watu utumia ile slogan ya if you can't convince them confuse them, sasa hapa naona watu wanatumia udin kufifisha ufisadi uliyo ishi miaka mingi,Lakin katika harakati za...
Jambo la msingi nikumuombea Rais wetu ili atimize alichokihadi,maana wakati anatoa ahadi watu walisema hawezi sasa wakae kitako mafisadi roho inataka kuwatoka wakisikia jina Magufuli.,Mfumo sasa unabadilika simulikuwa mnataka mfumo,?sasa give support to JPM.
Pole sana kwanza mkuu,hapo jambo LA msingi tenga siku maalumu ambayo utakuwa na mda wa kutosha umfurahishe ata kwa Kumtoa outing then katika hali ya utulivu muulize ilo tukio,husioneshe hali ya kukasilika maana anaweza kukuficha ukweli wenyewe.
H?sila hazijengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.