Recent content by MillionaireMan

  1. M

    M23 ya Rwanda yapata kipigo. Wamekufa viongozi wao muhimu sana

    Hapa wale wajinga wanaongoza tanzania wanataka kuwaaminisha wasomi kwamba rwanda na kagame ndio adui. Wakati wao ndio maadui wa nchi.
  2. M

    DOKEZO Serikali iko wapi masoko yanakuwa machafu kiasi hiki? Kipindupindu kitatuacha?

    Nenda Arusha Tengeru. Soko chafu na halina maendeleo, parking wala nini
  3. M

    Ni wife material lakini sivutiwi kimapenzi. Je, nimuoe au nisioe?

    Hongera! Ila nikukumbushe, hata biblia inasema umpende na yeye akuheshimu. Mwanamke hawekwi moyoni bali akilini; sio mama yako huyo wala mtoto wako. Mwanamke yoyote anafaa kuwa mke ndani. Ni wajibu wetu kumwongoza mwanamke
  4. M

    Arusha ni Mji ulioachwa uharifu utambe

    Hawa ni wale walugh lugha wa mikoani.
  5. M

    Arusha ni Mji ulioachwa uharifu utambe

    Halafu hawa makabila mnakandia Arusha yetu, kwani kuna mtu aliwaita mje?njoo arusha nikupe kazi mzee.
  6. M

    Arusha ni Mji ulioachwa uharifu utambe

    Wewe ni mshamba tu. Huna lolote
  7. M

    Tuweke hisia pembeni Israel ni ya Waisrael

    Lakini Injili haisemi kuua mtu na kutompa mtu haki yake ya msingi. Wayahudi ni watu washenzi duniania. Wao ndio wameleta chaos duniani kote.
  8. M

    Wasichana wa kazi wa ndani

    Hvi kima cha chini cha mshahara ni ngapi?
  9. M

    CRDB Bank hela zetu nani wanazitoa kwenye account

    Mimi account yangu ya dola haionekani online. Wamechukua pesa zangu. Ogopa crdb
Back
Top Bottom