Mashine za Sido ndio nzuri zukani zitakusumbua, Sema Upo mbali, mimi nipo Dar es salaam, Namiliki mashine ya Kukoboa na kusaga mizigo midogo midogo na Mikubwa pia zinasaga Pia, mashine yangu ya kusaga Nilitengenezea Dodoma Karibu na Soko La mahindi kibaigwa, na ya Kukoboa nilitengenezea hapa...
Unataka kufanyia wapi Biashara Yako, Hizi mashine zipo za mahitaji tofauti, zipo mashine za kusaga na kukubo mizigo midogo midogo. Pia zipo mashine ambazo zinasaga unga wa Biashara ule wa kupack sasa wewe unataka kufanya nini katika hivyo viwili?
Kwa kuongezea mashine zizosaga mizigo midogo...
Ujue mnapokuwa mnaandika vitu mjua kuna watu humu wanafanya Biashara tena kubwa tu , kwahiyo MTU akisoma post yako anauwezo wa kuichanganua kila Kitu halafu anaona hakuna kilicho andikwa zaidi ya tangazo tu La Biashara.
Pesa kubwa sana hiyo kama Utatulia kwenye kufanya maamuzi. kwasisi ambao tupo kwenye Uzalishaji kwa hiyo Pesa unapata magunia 20 ya mahindi kwa bei ya Sasa, kwahiyo sio pesa ndogo kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.