Recent content by MILKYWAY GALAXY

  1. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amjibu Kikwete kiaina

    Mkuu nimecheka sana Umeniibua kwa hiki Kiswahili kipya Respect !!!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, Badilisha jina la Mtaa wa Ikulu linatutia aibu

    Duuuh Mkuu hebu funguka zaidi Umenishtua kidogo Respect !!!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Would you rather..

    Mkuu naomba nichangie kwa lugha yangu Nachomekea kidogo, Najua unazungumzia watu, ila kwa kuangalai sinema za wanyama, mfano nyati au nyumbu, ukizubaa peke yako peke yako unahatihati ya kuliwa na samba au fisi. Kaa na wenzio uwe salama zaidi Respect !!!
  4. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mbunge wa Songea Mjini, Leonidas Gama(CCM) afariki dunia

    Innalillah wainna illah Raji'un. Respect !!!
  5. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Aliyewahi kuwa Meya wa Jiji la Dar, Kleist Abdulwahid Sykes amefariki dunia

    InnaLillahi wa Inna IlayhiRajiuun Mbele yetu nyuma yako Pumzika kwa Amani Mzee wetu Respect !!!
  6. M

    JamiiForums Tanzania CCM walimfanyia unyama Baba yangu mzazi

    Ndugu yangu Deo Nilitaka nipite tuu bila kukoment lakini uvumilivu umenishinda Hebu achana na aina ya "maharagwe" unayokula Badili aina ya mboga mkuu Usisahau kunywa maji mengi kuondoa sumu mwilini na kupunguza stress Respect !!!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi Rais akienda Kanisani Ikulu itoe taarifa kwa vyombo vya habari?

    Ndugu Chinchilla Nashukuru kwa kuweka hii video ya Ndugu Rais siku ya Kismas kwa ukamilifu wake. Kuna watu waliongea sana kuhusu Rozari nk. Wakayacha yoote mengine muhimu kwa makusudi. Tujifunze, tutafute ukweli, tuache kuamini simulizi tuu. Shukran Ndugu Raisi kwa hotuba safi, japo fupi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Magufuli 'apigwa' Bilioni 100

    Ndugu zangu wakati mwingine nashindwa kuwaelewa watanzania wenzangu Hivi vita dhidi ya ufisadi nk ni vyetu sote kwa faida yetu wote. Sasa tunaposema Ndugu Rais kapigwa nk sii ni ujuha uliopitiliza ? Hasara ni ya nani ? Mtu kajitolea watu wanaleta ujuha. Inakera sana hii Ndugu zangu...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, naomba utoe msamaha kwa ndugu George Paul

    Shukran sana ndugu Pondamali kwa kuleta taarifa hii. Nimepitia mwanzo mwisho angalau nipate namba ya simu au njia yeyote ya kuwasiliana na familia ya ndugu George. Tafadhali kama kuna ndugu yeyote humu atakayeweza kusaidia hili nitashukuru sana. Ahsante Respect !!!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyewapa vibali vya Business permit badala ya work permit Huawei-tiGO?

    Salaam bro Andrew Kwa hiyo mantiki ya maelezo yako hapo juu ni kwamba Tufumbie macho uvunjifu wa sheria ? Pia na ni sawa "two wrongs = right ?" Au nimelewa ugali wa hamira niliokula mchana huu ? Tafadhali tusaidie ufafanuzi mkuu wangu, ni hayo tuu Reaspect !!!
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ada elekezi shule binafsi tayari

    Mhhh Hapa inaleta shaka Rais wangu Ndugu JPM tafadhali sana iweke hii sawa. Shukran Respect !!!
  12. M

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Ndugu zangu Na mimi nianze kwa kumshukuru sana mwenyezi Mungu kwa mengi sana na yote. Mojawapo ni kwa kunipa pumzi ya kushuudia haya. Utendaji wa raisi wetu Ngugu John Magufuli na timu yake unaleta matumaini makubwa sana ambayo nikiri bila hiyana yalikuwa yamefifia sana kama sio karibu...
  13. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Ndugu Kazi ya Mungu haihojiwi Reaspect !!!
  14. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    R.I.P Deo na ndugu zangu mliokuwa kwenye hii ajali . Poleni sana ndugu zangu wote mlioguswa kwa njia moja ama nyingine na msiba huu mkubwa Respect !!!
  15. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya ACT-Wazalendo afariki dunia

    RIP Estomih Malla Ndio hatma ya kila mmoja wetu Respect !!!
Back
Top Bottom