Nipo Kasulu mjini, kituo cha kupigia kura cha Juhudi. Nimekuja kupiga kura yangu ya siri! Watu waliojitokeza mwanzo kujiandikisha walikuwa wengi. Ila leo hata nusu ya waliojiandikisha, hawafiki!
Ufanano wa Mwl. Nyerere na Lowasa uko wapi? Laiti kama ungefunuliwa vyema kuufahamu upande wa pili wa muungano wa Kagame na Lowasa, hakika usingehangaika namna hiyo.
Ni kweli. Sikuzungumza yote niliyoambiwa. Bila shaka, mimi sio wa kwanza, kumuhusisha ndg Lowasa na utawala wa ndg Kagame. Fuatilia, utajua nachomaanisha.
Majuzi nilikuwa nchini Rwanda kumtembelea rafiki yangu. Huyu ni Mnyarwanda wa kuzaliwa.
Niliingia mjini Kigali majirani ya saa kumi na mbili jioni kwa basi la Taqwa.
Rafiki yangu huyo ambaye hakunipa idhini ya kumuandika leo, nilimkuta amenisubiri. Akanipokea na kunipeleka nyumbani kwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.