Recent content by Milindi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tiktok kwa moto huko, hivi wale ni Watanzania wenzetu kweli maana sio poa

    We want TANGANYIKA Strongly
  2. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 James Mbowe: Kesi ya Lissu Watu 300 hawafiki Mahakamani

    James hujitambui,nenda page ya youtube ya mahakama uone views za kesi.Ina maana hujui kama watu wamepigwa sana mpaka kuvunjwa miguu.
  3. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA imeponzwa na ujinga wa wanaharakati

    Nenda kamsikilize Musiba Jambo TV,ipo siku utajuta uliyoyaandika
  4. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Humphrey Polepole ajiuzulu Ubalozi, asema hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na utii wa misingi ya katiba na chama

    Pamoja kwamba alishiriki uovu lakini barua hii ni ujumbe wa Mungu kwa watanzania
  5. M

    JamiiForums Tanzania Makonda: Sikutegemea kwamba leo ndo itakuwa ni siku yangu ya mwisho kuaga, namshukru sana Rais Samia

    Acha kudanganya watu UBUNGE una pesa ndefu zaidi ya ukuu wa mkoa.
  6. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mtazamo wangu juu ya alichoongea Mchungaji Hananja kuhusu Askofu Gwajima

    Ngoja ni unfollow hananja
  7. M

    JamiiForums Tanzania Utapiga kura mwaka huu?

  8. M

    JamiiForums Tanzania Utapiga kura mwaka huu?

  9. M

    JamiiForums Tanzania 2025 pombe basi - ni kahawa majani ya chai na maziwa

    Mwisho leo USIKU
  10. M

    JamiiForums Tanzania tiGO, mlikosa jina lingine la kutumia?

    Rostam aziz ana maana yake
  11. M

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Freeman Mbowe akamatwa na Jeshi la Polisi akielekea Mbozi mkoani Songwe

    Wale makomando walikuwa wapi?
  12. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 ACT Wazalendo kuiingiza tena mkenge CHADEMA katika chaguzi 2024 na 2025?

    Nyingine ni kuungana na kuweka mgombea mmoja CHADEMA msikubali kabisa mwami ni kibaraka ilitakiwa waungane tangu 2019/20.Mwami mjanja sana
Back
Top Bottom