Recent content by Milindi

  1. M

    Hivi ni nani alipitisha Kikokotoo, mbona Wabunge wa CCM wanakikataa, au ni Utapeli wa kisiasa kuelekea Uchaguzi?

    Yes,ni mabwege sana.TUCTA WAKO WAPI,Wafanyakazi wenyewe wako WAPI? Ati inakuwa agenda ya chadema
  2. M

    Makonda hakutakiwa kutamka lile tamko mbele ya Rais

    Labda yeye ni mtumwa wa rais,ndio alimtuma?
  3. M

    Facebook Tanzania yakumbwa na picha za ngono, TCRA kazi kwenu

    Nimefanya hivyo yanazidi kuja tags imebidi ni deactivate bado kidogo naachana na Facebook milele
  4. M

    Kwanini Upinzani hasa CHADEMA hawajadai mabadiliko kuhusu suala la uapishwaji mawakala wa vyama katika vituo vya kura?

    Kama hakutakuwa na mabadiliko sipigi kura mwaka huu na mwaka kesho(Uchaguzi ukiwa huru na haki asubuhi tuuu(Mwamba voice)
  5. M

    Tetesi: Kuna mashaka Bandarini. Serikali itoe tamko ya kinachoendelea ili kama yanayoripotiwa ni tetesi yasilete taharuki

    Keep in mind moja ya sababu ya kuuza bandari ni kuwa wezi umezidi bandarini
  6. M

    Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

    Kasema juzi mujahid twendeni kwa wananchi na marufuku hizo media zote zimekatazwa kurusha mikutano ya wapinzani.Jana nilijiuliza hando alifukuzwa efm,huenda na wasafi akafukuzwa.KAMA MKURUGENZI WA VIPINDI ZINAKUTOSHA jiuzulu.
  7. M

    TTCL Dodoma mnaihujumu Serikali na kukwamisha maendeleo ya wananchi

    Hii ni balaa kubwa,TAKUKURU ifanyieni kazi hii
  8. M

    TTCL Dodoma mnaihujumu Serikali na kukwamisha maendeleo ya wananchi

    NAPE,NAPE,NAPE.MAMA SAMIA NI LINI MTAIWEZESHA TTCL KUEPUKA AIBU HII[emoji24][emoji24]
  9. M

    Mlisema Hayati Magufuli amekata miti milioni 3 mvua hazitanyesha

    Wape wape vidonge vyao.........................................shauri yao
  10. M

    Mlisema Hayati Magufuli amekata miti milioni 3 mvua hazitanyesha

    Mabwawa mengi yanayotegemea mvua utendaji wake sio mzuri na mara nyingi tope hujaa na kupunguza ufanisi.Tuna jua la kutosha,tuna upepo wa kutosha yanini kutumia mapesa kibao kujenga bwawa linalotegemea mvua?
  11. M

    Mlisema Hayati Magufuli amekata miti milioni 3 mvua hazitanyesha

    Jaribu kujitambua hata kidogo,just wait mabadiliko ya tabia nchi ni halisi muda utajibu kila kitu na mtandao hua haufutiki wala hausahaui let me screenshot huu ujumbe na after six months jibu litapatikana
Back
Top Bottom