Baada ya kuusoma huu uzi nilishawishika kuexplore baadhi ya mitandao na kujionea kama yaliyoandikwa humu ndani yana uhalisia au la.
Sehemu ambayo niliweka makazi ya kudumu ni Hi5. Huko nimeweza kuchat na watu wa aina mbalimbali. Wapo ambao ukimtext tu anadeclare huduma zake na Bei zake. Wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.