Wakati mwingine jf huwa siwaelewi. Wanaongea humu wana elimu gani. Maana mtu kusema CCM itapigwa mwaka huu napata mashaka juu ya uelewa. A simple logic, chadema ina wabunge wangapi hadi kabla ya kuvunjwa kwa bunge la awamu ya tano? Act nayo hali ikoje. Ninachokitarajia ni kwamba mwaka huu vyama...
Ivi wana jf mna matatizo gani?mnataka kumdanganya nn mtanzania? Jpm ndio kila kitu kwa mtanzania na wengine ndio kwanza tunajua lisu bado yupo ughaibuni akitutangazia mabaya na kutoitakia mema nchi yetu. Viva jpm
Tanzania nadhani ina sifa tofauti sana, nimesoma mwanzo hadi mwisho nilijua inataja Africa kwa ujumla lakini mwishoni imeitajwa Tanzania moja kwa moja.
mwanzisha mada umechemka.
paragraphy ya mwisho imechangnya mambo kufanya mada nzima isieleweke
umeshindwa kutofautisha Quarantine na Lockdown
umeshin dwa kujua CDM walichagua na kutekeleza kipi
ni mbaya sana kama mwanzisha uzi mwenyewe haelewi alichokiandika kwa usahihi kina maana gani
kwanza kupita kwake hakuhitaji kura za wana JF kama wewe
uchumi kushuka ni suala lililokumba hata mataifa makubwa
waliowengi watamchagua na lazma apite kwa kishindo. hapa JF wengi hata sifa za kupiga kura hawana wanabwabwaja tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.