Tunataka kurudishwa Misri tulipolishwa makombo na mifupa huku nyama ikiliwa na wachache

Pale mwanaume sifa yako inapokuwa ni uongo na umbea.
 
Nadhani hukucheki statistics za mikopo mwaka 2015 -2020. Serikal haijawahi kuacha kukopa. check your facts again
Hakusema kukopa....kasema "kuomba" kukopa unarudisha ukiomba unapewa kwa matashi ya anayekupa...
 
Mtume Musa baada ya kuwatoa waisraeli Misri aliua sana. Mungu pia aliua sana, alifikia hatua akataka kuwaua Waisraeli wote akamwahidi Musa akisema nami nitakufanya wewe Taifa kubwa na lenye nguvu kuliko wao. Kwanini? Kwasababu walikuwako "hardliners" na waliobobea waliokuwa wakifaidi makombo ya Mafarao ndio waliokuwa wakiushawishi umma mara kwa mara kwamba NI AHERI TURUDI MISRI.

Hata nyakati zetu wapo wanaofaidi makombo ya wadhulumaji. Fikiria ACACIA inavuna makinikia yetu, inasomba utajiri wetu kupeleka nje ikituachia umaskini. Wapo waliotetea wakisingizia sheria za kimataifa na mikataba. Hawa ndio wala makombo. Kwamba wanyonyaji wanauza makinikia ya mabilioni ya dola kisha wakinyofoa dola milioni moja na kumpa Lawyer akili inamhama anatetea dhuluma.

Hayo makampuni yanaziingizia serikali zao mapato makubwa kiasi kwamba serikali hiyo ikitoa dola milioni 500 kuisaidia Tanzania Rais (omaomba) anaona amepata kitu kikubwa, amefadhiliwa na anawaona wanyonyaji mithili ya malaika akidhani wanamsaidia kwasababu wana huruma, kumbe wanamtupia makombo.

Hao wala makombo ndio wanaojifanya kuwa mstari wa mbele kutoa tafsiri za HAKI demokrasia na udikteta shame upon them.

SISI tutaendelea kusimama na Mungu wa kweli, tutasimama na Mungu wa haki hadi tutaufikia ukombozi kamili. Tanzania yenye neema yaja na italetwa na mashujaa siyo wala makombo ya ubeberu.
Usiogope Mungu aliye hai yupo.
Simama tu kwenye zamu yako,maana anahitaji mtu Wala si watu wa kusimama palipo bomoka.
 
Mtume Musa baada ya kuwatoa waisraeli Misri aliua sana. Mungu pia aliua sana, alifikia hatua akataka kuwaua Waisraeli wote akamwahidi Musa akisema nami nitakufanya wewe Taifa kubwa na lenye nguvu kuliko wao. Kwanini? Kwasababu walikuwako "hardliners" na waliobobea waliokuwa wakifaidi makombo ya Mafarao ndio waliokuwa wakiushawishi umma mara kwa mara kwamba NI AHERI TURUDI MISRI.

Hata nyakati zetu wapo wanaofaidi makombo ya wadhulumaji. Fikiria ACACIA inavuna makinikia yetu, inasomba utajiri wetu kupeleka nje ikituachia umaskini. Wapo waliotetea wakisingizia sheria za kimataifa na mikataba. Hawa ndio wala makombo. Kwamba wanyonyaji wanauza makinikia ya mabilioni ya dola kisha wakinyofoa dola milioni moja na kumpa Lawyer akili inamhama anatetea dhuluma.

Hayo makampuni yanaziingizia serikali zao mapato makubwa kiasi kwamba serikali hiyo ikitoa dola milioni 500 kuisaidia Tanzania Rais (omaomba) anaona amepata kitu kikubwa, amefadhiliwa na anawaona wanyonyaji mithili ya malaika akidhani wanamsaidia kwasababu wana huruma, kumbe wanamtupia makombo.

Hao wala makombo ndio wanaojifanya kuwa mstari wa mbele kutoa tafsiri za HAKI demokrasia na udikteta shame upon them.

SISI tutaendelea kusimama na Mungu wa kweli, tutasimama na Mungu wa haki hadi tutaufikia ukombozi kamili. Tanzania yenye neema yaja na italetwa na mashujaa siyo wala makombo ya ubeberu.
Sawa Mhubiri!
 
Rais Samia anakwenda kuifanyia rebranding Tanzania, hana uoga wa kujichanganya na watu wa mataifa mbalimbali. Anatumia nguvu ya diplomasia katika kulikuza jina la nchi hii iliyojaliwa utajiri wa rasilimali za kila aina.

Anayo thinking tofauti na ile ya marais wa kiume na hii ni added advantage. Anakuwa na aina ya uongozi wenye kujishusha na dunia ikikuelewa namna hiyo maana yake mipango yako mingi ni lazima iwe na matunda yanayomfikia mwananchi wa kawaida.

Mleta uzi jitahidi kuondokana na mwili kuwepo leo halafu akili zote zikabakia jana. JPM ni shujaa lakini amekwisha kulala usingizi wa milele.
 
Mtume Musa baada ya kuwatoa waisraeli Misri aliua sana. Mungu pia aliua sana, alifikia hatua akataka kuwaua Waisraeli wote akamwahidi Musa akisema nami nitakufanya wewe Taifa kubwa na lenye nguvu kuliko wao. Kwanini? Kwasababu walikuwako "hardliners" na waliobobea waliokuwa wakifaidi makombo ya Mafarao ndio waliokuwa wakiushawishi umma mara kwa mara kwamba NI AHERI TURUDI MISRI.

Hata nyakati zetu wapo wanaofaidi makombo ya wadhulumaji. Fikiria ACACIA inavuna makinikia yetu, inasomba utajiri wetu kupeleka nje ikituachia umaskini. Wapo waliotetea wakisingizia sheria za kimataifa na mikataba. Hawa ndio wala makombo. Kwamba wanyonyaji wanauza makinikia ya mabilioni ya dola kisha wakinyofoa dola milioni moja na kumpa Lawyer akili inamhama anatetea dhuluma.

Hayo makampuni yanaziingizia serikali zao mapato makubwa kiasi kwamba serikali hiyo ikitoa dola milioni 500 kuisaidia Tanzania Rais (omaomba) anaona amepata kitu kikubwa, amefadhiliwa na anawaona wanyonyaji mithili ya malaika akidhani wanamsaidia kwasababu wana huruma, kumbe wanamtupia makombo.

Hao wala makombo ndio wanaojifanya kuwa mstari wa mbele kutoa tafsiri za HAKI demokrasia na udikteta shame upon them.

SISI tutaendelea kusimama na Mungu wa kweli, tutasimama na Mungu wa haki hadi tutaufikia ukombozi kamili. Tanzania yenye neema yaja na italetwa na mashujaa siyo wala makombo ya ubeberu.
Umeandika ujinga.

Hivi kuna nini kilicho tofauti sasa na zamani kuhusiana na biashara ya makinikia? Marehemu was a good president for the fools kama huyu. Hawa ndio aliowaharibu akili, akaalisha uwongo na ujinga, wakaupokea na wameamua kuishi nao.

Nataka nikuhakikishie, hakuna kilichobadilika. Makinikia toka mwanzo yalikuwa yanaenda nje, yanalipiwa kodi, na ndivyo inavyofanyika sasa. Ila sasa hivi, tofauti na mwanzo, kwenye mkataba waliosaini Barrick na Serikali, Serikali hairuhusiwi kusimamisha uchimbaji wala usafirishaji dhahabu au makinikia, hata kukiwa na dispute.
 
Mtume Musa baada ya kuwatoa waisraeli Misri aliua sana. Mungu pia aliua sana, alifikia hatua akataka kuwaua Waisraeli wote akamwahidi Musa akisema nami nitakufanya wewe Taifa kubwa na lenye nguvu kuliko wao. Kwanini? Kwasababu walikuwako "hardliners" na waliobobea waliokuwa wakifaidi makombo ya Mafarao ndio waliokuwa wakiushawishi umma mara kwa mara kwamba NI AHERI TURUDI MISRI.

Hata nyakati zetu wapo wanaofaidi makombo ya wadhulumaji. Fikiria ACACIA inavuna makinikia yetu, inasomba utajiri wetu kupeleka nje ikituachia umaskini. Wapo waliotetea wakisingizia sheria za kimataifa na mikataba. Hawa ndio wala makombo. Kwamba wanyonyaji wanauza makinikia ya mabilioni ya dola kisha wakinyofoa dola milioni moja na kumpa Lawyer akili inamhama anatetea dhuluma.

Hayo makampuni yanaziingizia serikali zao mapato makubwa kiasi kwamba serikali hiyo ikitoa dola milioni 500 kuisaidia Tanzania Rais (omaomba) anaona amepata kitu kikubwa, amefadhiliwa na anawaona wanyonyaji mithili ya malaika akidhani wanamsaidia kwasababu wana huruma, kumbe wanamtupia makombo.

Hao wala makombo ndio wanaojifanya kuwa mstari wa mbele kutoa tafsiri za HAKI demokrasia na udikteta shame upon them.

SISI tutaendelea kusimama na Mungu wa kweli, tutasimama na Mungu wa haki hadi tutaufikia ukombozi kamili. Tanzania yenye neema yaja na italetwa na mashujaa siyo wala makombo ya ubeberu.
Inakuwa vigumu sana kuunga mkono hoja zako, kwa sababu unaziegemeza kwa mtu ambaye mambo yake mengi yameumiza watu.

Mada kama hii isimamie mwenyewe, huna lazima yoyote ya kuiegemeza kwa huyo mtu wako. Tupo tunaoweza kushiriki kuunga mkono mawazo ya namna hii kama ndio msimamo wako.
 
Uko sahihi, kuna mamluki wa kufaida keki, na hao wako radhi kufanya upotoshaji kuliko kusimamia haki.
Mbaya zaidi wengi wao ndio walikuwa wakimsaidia musa ili tufike nchi ya maziwa na asali leo wamegeuka kina Kora na dothani. Shame on you.
 
Sawa Mhubiri!
Mpotoshaji tu huyo, anatumia maandiko out of context, hajui maandiko wala nini! Anahalalisha maovu ya awamu ile kwa ku-quote Kwamba Musa ailiuwa na Mungu aliuwa! Hawa ndo wale walioliabudu jiwe wakalisababishia hukumu!
 
Back
Top Bottom