hoffman
JF-Expert Member
- Jul 21, 2011
- 294
- 452
Mtu ambaye hana akili huwa hana point ni kutukana tu.Kwani mateja waliwahi kupungua mitaani?
Mlizoea kuonea wenzenu shenzi nyie.
Mtu ambaye hana akili huwa hana point ni kutukana tu.Kwani mateja waliwahi kupungua mitaani?
Mlizoea kuonea wenzenu shenzi nyie.
Hakusema kukopa....kasema "kuomba" kukopa unarudisha ukiomba unapewa kwa matashi ya anayekupa...Nadhani hukucheki statistics za mikopo mwaka 2015 -2020. Serikal haijawahi kuacha kukopa. check your facts again
Usiogope Mungu aliye hai yupo.Mtume Musa baada ya kuwatoa waisraeli Misri aliua sana. Mungu pia aliua sana, alifikia hatua akataka kuwaua Waisraeli wote akamwahidi Musa akisema nami nitakufanya wewe Taifa kubwa na lenye nguvu kuliko wao. Kwanini? Kwasababu walikuwako "hardliners" na waliobobea waliokuwa wakifaidi makombo ya Mafarao ndio waliokuwa wakiushawishi umma mara kwa mara kwamba NI AHERI TURUDI MISRI.
Hata nyakati zetu wapo wanaofaidi makombo ya wadhulumaji. Fikiria ACACIA inavuna makinikia yetu, inasomba utajiri wetu kupeleka nje ikituachia umaskini. Wapo waliotetea wakisingizia sheria za kimataifa na mikataba. Hawa ndio wala makombo. Kwamba wanyonyaji wanauza makinikia ya mabilioni ya dola kisha wakinyofoa dola milioni moja na kumpa Lawyer akili inamhama anatetea dhuluma.
Hayo makampuni yanaziingizia serikali zao mapato makubwa kiasi kwamba serikali hiyo ikitoa dola milioni 500 kuisaidia Tanzania Rais (omaomba) anaona amepata kitu kikubwa, amefadhiliwa na anawaona wanyonyaji mithili ya malaika akidhani wanamsaidia kwasababu wana huruma, kumbe wanamtupia makombo.
Hao wala makombo ndio wanaojifanya kuwa mstari wa mbele kutoa tafsiri za HAKI demokrasia na udikteta shame upon them.
SISI tutaendelea kusimama na Mungu wa kweli, tutasimama na Mungu wa haki hadi tutaufikia ukombozi kamili. Tanzania yenye neema yaja na italetwa na mashujaa siyo wala makombo ya ubeberu.
Nyama ya bata?!Mleta uzi ni zoba sana.Bado anaiishi jana.Ningekuwa nakuona uso kwa macho ningekulamba makofi mpaka uteme udenda.Nyama ya bata kweli weye!😂😂😂😂😂😂
KengeNyama ya bata?!
Nyama ya bata?!Mleta uzi ni zoba sana.Bado anaiishi jana.Ningekuwa nakuona uso kwa macho ningekulamba makofi mpaka uteme udenda.Nyama ya bata kweli weye!😂😂😂😂😂😂
ni mimi au umemwongezea yule nyama ya bata?Kenge
Uzi umechacha
Yule.Weye huna hatia.😝😝😝Nyama ya bata?!
ni mimi au umemwongezea yule nyama ya bata?
Basi Sawa!Yule.Weye huna hatia.😝😝😝
Sawa Mhubiri!Mtume Musa baada ya kuwatoa waisraeli Misri aliua sana. Mungu pia aliua sana, alifikia hatua akataka kuwaua Waisraeli wote akamwahidi Musa akisema nami nitakufanya wewe Taifa kubwa na lenye nguvu kuliko wao. Kwanini? Kwasababu walikuwako "hardliners" na waliobobea waliokuwa wakifaidi makombo ya Mafarao ndio waliokuwa wakiushawishi umma mara kwa mara kwamba NI AHERI TURUDI MISRI.
Hata nyakati zetu wapo wanaofaidi makombo ya wadhulumaji. Fikiria ACACIA inavuna makinikia yetu, inasomba utajiri wetu kupeleka nje ikituachia umaskini. Wapo waliotetea wakisingizia sheria za kimataifa na mikataba. Hawa ndio wala makombo. Kwamba wanyonyaji wanauza makinikia ya mabilioni ya dola kisha wakinyofoa dola milioni moja na kumpa Lawyer akili inamhama anatetea dhuluma.
Hayo makampuni yanaziingizia serikali zao mapato makubwa kiasi kwamba serikali hiyo ikitoa dola milioni 500 kuisaidia Tanzania Rais (omaomba) anaona amepata kitu kikubwa, amefadhiliwa na anawaona wanyonyaji mithili ya malaika akidhani wanamsaidia kwasababu wana huruma, kumbe wanamtupia makombo.
Hao wala makombo ndio wanaojifanya kuwa mstari wa mbele kutoa tafsiri za HAKI demokrasia na udikteta shame upon them.
SISI tutaendelea kusimama na Mungu wa kweli, tutasimama na Mungu wa haki hadi tutaufikia ukombozi kamili. Tanzania yenye neema yaja na italetwa na mashujaa siyo wala makombo ya ubeberu.
Umeandika ujinga.Mtume Musa baada ya kuwatoa waisraeli Misri aliua sana. Mungu pia aliua sana, alifikia hatua akataka kuwaua Waisraeli wote akamwahidi Musa akisema nami nitakufanya wewe Taifa kubwa na lenye nguvu kuliko wao. Kwanini? Kwasababu walikuwako "hardliners" na waliobobea waliokuwa wakifaidi makombo ya Mafarao ndio waliokuwa wakiushawishi umma mara kwa mara kwamba NI AHERI TURUDI MISRI.
Hata nyakati zetu wapo wanaofaidi makombo ya wadhulumaji. Fikiria ACACIA inavuna makinikia yetu, inasomba utajiri wetu kupeleka nje ikituachia umaskini. Wapo waliotetea wakisingizia sheria za kimataifa na mikataba. Hawa ndio wala makombo. Kwamba wanyonyaji wanauza makinikia ya mabilioni ya dola kisha wakinyofoa dola milioni moja na kumpa Lawyer akili inamhama anatetea dhuluma.
Hayo makampuni yanaziingizia serikali zao mapato makubwa kiasi kwamba serikali hiyo ikitoa dola milioni 500 kuisaidia Tanzania Rais (omaomba) anaona amepata kitu kikubwa, amefadhiliwa na anawaona wanyonyaji mithili ya malaika akidhani wanamsaidia kwasababu wana huruma, kumbe wanamtupia makombo.
Hao wala makombo ndio wanaojifanya kuwa mstari wa mbele kutoa tafsiri za HAKI demokrasia na udikteta shame upon them.
SISI tutaendelea kusimama na Mungu wa kweli, tutasimama na Mungu wa haki hadi tutaufikia ukombozi kamili. Tanzania yenye neema yaja na italetwa na mashujaa siyo wala makombo ya ubeberu.
Inakuwa vigumu sana kuunga mkono hoja zako, kwa sababu unaziegemeza kwa mtu ambaye mambo yake mengi yameumiza watu.Mtume Musa baada ya kuwatoa waisraeli Misri aliua sana. Mungu pia aliua sana, alifikia hatua akataka kuwaua Waisraeli wote akamwahidi Musa akisema nami nitakufanya wewe Taifa kubwa na lenye nguvu kuliko wao. Kwanini? Kwasababu walikuwako "hardliners" na waliobobea waliokuwa wakifaidi makombo ya Mafarao ndio waliokuwa wakiushawishi umma mara kwa mara kwamba NI AHERI TURUDI MISRI.
Hata nyakati zetu wapo wanaofaidi makombo ya wadhulumaji. Fikiria ACACIA inavuna makinikia yetu, inasomba utajiri wetu kupeleka nje ikituachia umaskini. Wapo waliotetea wakisingizia sheria za kimataifa na mikataba. Hawa ndio wala makombo. Kwamba wanyonyaji wanauza makinikia ya mabilioni ya dola kisha wakinyofoa dola milioni moja na kumpa Lawyer akili inamhama anatetea dhuluma.
Hayo makampuni yanaziingizia serikali zao mapato makubwa kiasi kwamba serikali hiyo ikitoa dola milioni 500 kuisaidia Tanzania Rais (omaomba) anaona amepata kitu kikubwa, amefadhiliwa na anawaona wanyonyaji mithili ya malaika akidhani wanamsaidia kwasababu wana huruma, kumbe wanamtupia makombo.
Hao wala makombo ndio wanaojifanya kuwa mstari wa mbele kutoa tafsiri za HAKI demokrasia na udikteta shame upon them.
SISI tutaendelea kusimama na Mungu wa kweli, tutasimama na Mungu wa haki hadi tutaufikia ukombozi kamili. Tanzania yenye neema yaja na italetwa na mashujaa siyo wala makombo ya ubeberu.
Mbaya zaidi wengi wao ndio walikuwa wakimsaidia musa ili tufike nchi ya maziwa na asali leo wamegeuka kina Kora na dothani. Shame on you.Uko sahihi, kuna mamluki wa kufaida keki, na hao wako radhi kufanya upotoshaji kuliko kusimamia haki.
Mpotoshaji tu huyo, anatumia maandiko out of context, hajui maandiko wala nini! Anahalalisha maovu ya awamu ile kwa ku-quote Kwamba Musa ailiuwa na Mungu aliuwa! Hawa ndo wale walioliabudu jiwe wakalisababishia hukumu!Sawa Mhubiri!