Recent content by mike-mary

  1. M

    Mgombea ubunge wa UKAWA jimbo la Muheza afanya kufuru

    Unaandika kinyongeee kama alivyomnyonge magufuli baada ya kuambiwa apige push ups mbele ya JUMA nyoso
  2. M

    Special thread: Kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA/UKAWA nchi nzima kuelekea 25 Oktoba, 2015

    Hapa NI mabadiliko tu taarabu zako peleka jahaz modern
  3. M

    Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

    Akili kama za Nape hizi.... Kazi kuvuvuzeleka tu
  4. M

    Mbatia atofautiana na Lowassa

    Mwalimu wako alipata shida sana unakichwa kigumu nini hujaelewa hapo?
  5. M

    Vijana tusishikiwe akili

    Aisha Iddi Ujinga huu tafuta wapuuzi wenzako kama mjadiliane sisi tumesema hapa ni lowassa tu
  6. M

    Tathmini ndogo ya wagombea UKAWA, CCM

    Akili za kubemendwa hizo ccm imekubemenda hujitambui
  7. M

    Wabunge wa CHADEMA: Mnatoa msaada au mnatangaza majina yenu kwenye magari?

    ndla Jr.;13772374]Wanabodi, Binafsi nimeshangazwa sana na tabia inayofanywa na Wabunge wa chadema. Na kiukweli SIJAPENDA!!!! Inakuwaje Mbunge anatoa Ambulance au gari la kubebea taka katika Jimbo lake na kisha kuandika... 'Msaada kutoka kwa Kaka yenu A.Mbowe" au "Gari hili ni msaada kutoka...
  8. M

    Humphrey Polepole on Star TV: Hama Hama katika Vyama, ni kwa Maslahi ya Nani?

    pero;13721202]Huyu anajifanya ndio msemaji wa wananchi nani kampa cheo hicho, yeye ni kama mtu yeyote kwanza naona kama hajui kitu ni ujingiujinga tu Pole pole anasumbuliwa na mimba change msameheni bure
  9. M

    Nape mbona unawadanganya wana ccm?

    osoo;13693560]Kwa hatua iliyofikia inaonesha wazi viongozi wa CCM wanawahadaa wanachama, Ndugu yangu Nape juzi alisema Lowassa hafai kuwa hata balozi wa nyumba kumi (10) Lakini ni Lowassa huyu huyu aliyekuwa waziri mkuu chini ya utawala wa CCM,Sasa balozi wa nyumba kumi na waziri mkuu nani...
  10. M

    Clouds FM, hiki mnachofanya ni kampeni kwa CCM

    ambali;13667913]Wakuu Radio CloudsFM ina promo ya tangazo lao la kipindi chao kipya kuhusu siasa kuelekea uchaguzi mkuu. Kwenye tangazo lao la kipindi hicho kipya wameweka sauti ya Magufuli akiongea kwa zaidi ya sekunde kumi akisema "maendeleo ya kweli yatatoka kwenye kiongozi anayetoka CCM"...
  11. M

    Kamati Kuu ACT-Wazalendo yakutana Double Tree Hotel, Dar - Agosti 15, 2015

    From the source that I believe Zitto anaonekana Double Tree hotel akiwa na Nape ,Membe na Mangula muda huu.It was my personal conversation na jamaa yangu ila udaku wangu umenifanya nishee na ninyi ndugu zangu!!☝☝☝ Sent as received....
  12. M

    CCM yawaita watanzania ni VIBAKA?

    Huo ndio ujinga wa gazeti la Uhuru na ccm wao
Back
Top Bottom