Mkuu habari ya asubuhi
Hii idea ya mifuko ya kuuza migodini nimeipokea kwa mikono yote,mara nyingi biashara kama hizi huwa zinadharauliwa ,ila zinawatoa watu
Sasa ninaomba msaada jinsi ya kuipata,kwa sababu nahitaji kuthubutu hii kitu
Connection ya kupata hii mifuko please
Kwa kwl huu ni udumi wa mawazo na fikra, sasa siasa, dini na usafiri wa abiria vina uhusiano gani, au vitasababusha nini ndani ya basi,
Nadhani mngeshughurikia kuzuia ajali na kuhakikisha usalama wa jamii ningeona mpo sawa, ' ni mtazamo wangu
Huu unao ongea ni upumbavu, binadamu gani ambaye hana huruma kwa binadamu mwenzie, hivi ungekuwa ww au babako kafanyiwa hivyo ungeongea rubbish hivyo?
Huna akili hata kidogo, hebu acha ushabiki wa vyama ingiza utu!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.