Kwa nionanvyo mimi panda bas hadi Dodoma, unaweza ondoka na mabasi ya usiku saa 3 au saa 4,,, saa 12 asbh utakua Dodoma hapo pana basi linaitwa Turu best/Tunda linaenda moja kwa moja mpaka Meatu ,japo sio luxury ila ndio linaloenda huko, alternative unaweza kupanda basi la usiku mpaka Shinyanga...