Recent content by Mijicho

  1. M

    Natengeneza computer systems /Application

    Habari wadau, Nakuja kwenu kwa unyenyekevu mkubwa, Mie natengeneza mifumo ya computer .Nimefanya kazi ya kutengeneza mifumo kwa karibu miaka 20 sasa. Kwa mwenye uhitaji tuwasiliane. Mifano michache: Asset Management Point of Sale Contract and Case Management HR management system Garage...
  2. M

    Mnaoomba Mungu na anawasikiliza uwa mnatumia mbinu gani?

    pole kwa yanayokusibu.Ila pengine anza kwa kushukuru kwanza,mpaka unaposti hapa ni bila shaka una smart phone,na pengine hujakosa walau kula chakula cha mchana,elewa maana ya kushukuru na uache kujiona huna bahati.Jifunze kila siku kushukuru hata kwa huo uhai tu ,sio wote wanao,wako vilema,wako...
  3. M

    Contract and Case Management system

    Habari wote, kazi yetu ni kutengeneza mifumo ya Computer. Kwa sasa nawaletea mfumo ambao unasimamia na kurekodi maswala yote ya mikataba pamoja na kesi. Kwa makampuni ambayo yanakua na mikataba mingi ambayo ina expiry date,basi hiii itakusaidia kuweka kumbukumbuku zote za mikataba,ukiweza pia...
  4. M

    Contract and case Management System-Mfumo wa kusimamia mikataba na kesi

    Habari wote, kazi yetu ni kutengeneza mifumo ya Computer. Kwa sasa nawaletea mfumo ambao unasimamia na kurekodi maswala yote ya mikataba pamoja na kesi. Kwa makampuni ambayo yanakua na mikataba mingi ambayo ina expiry date,basi hiii itakusaidia kuweka kumbukumbuku zote za mikataba,ukiweza pia...
  5. M

    To Forex Traders 2024

    umeshajaribu kitu ICT strategy,very very nice
  6. M

    Tuko na hii mifumo ya computer(Application systems)

    One time purchase Boss kama itakua on premise. Lakini ukitaka tukuwekee online kuna gharama kdg zitaongezeka kwa ajili ya kuregister domain na kulipia domain yearly.Ni kama laki 2 kwa mwaka .So kwa ambayo itakua kwa cloud utalipa hiyo one time purchase 700,000 + 200,000(recurring yearly)
  7. M

    Tuko na hii mifumo ya computer(Application systems)

    Ni Web based,so ukitaka nikuwekee online kuna éxtra chargés za domain hosting
  8. M

    Tuko na hii mifumo ya computer(Application systems)

    Utakavyoamua tu boss
  9. M

    Sasa unaweza kuangalia mauzo ya duka lako ukiwa popote

    Sawa ,hiyo ntaiwekea post yake tofauti,ujumbe wangu hapa nia yangu ilikua ni kumfahamisha mwenye biashara anaweza kufuatilia mauzo akiwa nyumbani
  10. M

    Sasa unaweza kuangalia mauzo ya duka lako ukiwa popote

    Ujue kama nilivyosema hii system ni maalumu kama unataka kuaccess hata ukiwa nyumbani ,uone mwendendo wa mauzo yako kwa kupitia internet .hapo utakua na kama website yako ndio maana kuna hiyo gharama.lakini pia tuna mfumo huo huo ambao Unaweza kuwekwa kwenye computer bila internet,gharama.yake...
  11. M

    Sasa unaweza kuangalia mauzo ya duka lako ukiwa popote

    Ok ,unaweza kucontrol wizi namna hii. Kwa ligha nyepesi kabisa angalia mfano huu. Umenunua bidhaa 20. Umeuza 5 Umebakiwa na 15 kwenye stock. Muda wowote ukihesabu Mali zako unategemea ziwe 15 na si vinginevyo.lazima hiyo 15 uione kwenye system na ukizihesabu.akiiba ina maana kwenye system...
  12. M

    Sasa unaweza kuangalia mauzo ya duka lako ukiwa popote

    Sasa hapa nimejaribu kufupisha,nimeweka function za system kwa ufupi in summary,ili atakayeona inamfaa tunafanya demo,nakuja na laptop nakuonyesha unavyofanya kazi
  13. M

    Sasa unaweza kuangalia mauzo ya duka lako ukiwa popote

    Bado kijana mdogo,umejiunga 2018 bado unajifanya mjuaji
  14. M

    Sasa unaweza kuangalia mauzo ya duka lako ukiwa popote

    Mfano wa namna gani,hii system ukipenda nikufanyie demostration karibu mkuu.Wengine huwa wanaita point of sale-pOS.
Back
Top Bottom