Recent content by miiso

  1. M

    Lowassa na Nyalandu wakutana Zanzibar

    Mwenye akili anajua kinachoendelea, nyinyi mliojitoa akili mnaibuka na kila mtangaza nia.. mara Makongoro,nani kwa kuambia jina linaongoza nchi..baba yake mwenyewe hakumpromote akijua hawezi. shauri yenu
  2. M

    Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

    Mmmh, hivi vita gani inapigwana bila kuandaliwa. We unataka Team El ikae tuu iwatazame nyinyi mnaojifanya wasafi mwendeleze harakati zao chafu za kuwachafua wengine ili walitewe Urais kwenye sahani,,,...mtasubiri sana. EL kaza buti safari ya matumaini imekaribia mwisho...Viva EL
  3. M

    Kumekucha CCM: Vigezo vya Mgombea wa Urais hivi hapa

    Hahahaaaa...unaona. Kaza but EL, vigezo vyote unavyo
  4. M

    Facts 13 kuhusu Lowassa na Uchaguzi 2015

    Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, mwenye macho haambiwi tazama.. Edo kazi buti, karibu tunalifikia daraja. Acha wanaozuia mafuriko kwa vidole waendelee. Watatukuta huko tukishavuka
  5. M

    Afya ya Lowassa Mgogoro: Akimbilia Ujerumani kwa matibabu

    ani kawamia safari iikuwa ya ghafla, safari hiyo ilipagwa siku nyingi na haend Ujerumani basi. Ninyi mtananga sana, nani kwa kwaambia ameenda Ujerumani, kwani wote wanaopanda ndege wanaenda ujerumani kutibiwa? Acheni kuweweseka mkisikia jina la EL. Amewashika pabaya vumilieni maumivu octoba hiyo...
  6. M

    Kinana na Nape walipofanya ziara Jimbo la Monduli

    Tutavuka daraja tutakapolifikia...Nape bwana anafurahisha sana. Hana pa kutokea, anatamani maneno mabaya aliyomsemea Mhe Jembe Lowassa yarudi kinywani lakini ndo hivo tena "jini likitoka kwenye chupa haiwezi kurudi manake halitaenea tena" kama niki mquote Shehe mmoja kwnye Bunge la Katiba
  7. M

    Barua: Dr. Mwakyembe, kilichokuponza ni mikakati ya kufufua reli ya kati (TRC) ili kuondoa Malori

    Kama nchi hii tumefikia hapa, basi Mungu tusadie
  8. M

    Lowassa: Rushwa ni kansa inayoitafuna nchi

    Akate nani jina , dhubutu. Kwani ccm ni akina nani, nape na makonda...ebo. Kumzuia Lowassa ni sawa na kuzuia jua kuzama jioni...unaweza. Wataangaika sana lakini safari ya matumaini iko palepale
  9. M

    Kilele cha Kejeli: Kikwete Umenikwaza... "Barua ya Mkosaji"

    This article is really philosophical, big hug Mzee Mwanakijiji. Umejaribu kuitumia fasihi vizuri kufikisha ujumbe ila tatizo ni kwamba wataelewa?
  10. M

    Lowassa angalikuwa jasiri asingalionewa kiasi hicho ndani ya CCM

    Hahahaaa...Edo anawabana mbavu akina Makonda mpaka inapendeza...napita tu
  11. M

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Tunakaribia daraja...kaza buti. Mhe Lowassa ni kimbunga hakuna wa kumzuia. Saa ya matumaini imewadia
  12. M

    Nyerere: Rais anayekwenda ikulu kwa pesa ni wa kumuogopa kama ukoma

    Hivi ninyi mnaomuabudu Nyerere badala ya Mungu mna matatizo gani. Kila siku nyerere kasema, kasema, kasema. Nani kwawaambia Tz ni mali ya marehemu. Badala ya kutoa hoja zenu kuwashawishi TZ kuhusu mgombea wenu mnayemtaka mnakesha kwenye mitandao kumnanga Mhe Lowassa. Tena kwa kutumia jina la...
  13. M

    Nyerere: Rais anayekwenda ikulu kwa pesa ni wa kumuogopa kama ukoma

    Hivi nyie mnaoweweseka mkimsikia Lowassa anaenda Magogoni akifika mtafanya nini. Eti kila siku Nyerere alisema, alisema alisema! Lini Nyerere kawa Mungu wa Watanzania! Lini kawa Msaafu au Biblia kwa Watz. Acheni uchuro...Tanzania ni ya Watanzania wote siyo ya marehemu Nyerere. Alishamaliza muda...
  14. M

    Joshua Nassari apata aibu mbele ya John D. Pallangyo

    Hahahaa...Huyo John Pallangyo anajisumbua. Hajui kilichojificha kwa Wameru kuhusu yeye. Namwonea huruma pesa yake italiwa kama ilivyoliwa ya mwenzake 1995 akaishia kupata pressure, kisukari na mwisho mauti. Chezea Wameru wewe. Nataadharisha tu
  15. M

    From Goatherd to Governor, Edwin Mtei's Autobiography

    Watanzania tujenge tabia ya kufiki chanya, Mzee Mtei ni Role Model kwa kizazi cha sasa ambacho hakipendi kujishughulisha na badala yake ni kulaumu kila kitu. Nani kakuambia umaskini wako utaondoka kwa kubeza juhudi za wenzio. Do something good to leave behind your footprints
Back
Top Bottom