hiki kinachofanyika kwa sasa kitazamwe upya, kiukwel si haina nzuri ya kupata viongozi, wasiojua kujipendekeza kwa wakubwa itakua vigumu sana wao kupata nafasi mbalimbali, au wasiokua jiran kwenye kipndi mbalimbal vya tv kama walivyo hao akina polepole, nadhan na yule anayepiga makelele chanel...
Duka la vipodozi linauzwa liko tabata relini ni sehemu nzuri na ni barabarani kabisa.anayehitaji anipm.being n 5M namuachia kila kitu na kodi imelipwa mwaka mzima.
Gari aina ya Toyota Vitz yenye namba CJQ inauzwa,iko kwenye hali nzuri kabisa na ina mmiliki mmoja tu tangu iliponunuliwa.Bei ni sh.5.8M ila inaongeleka,kwa yule serious buyer anicheck kwenye whatsaap # 0757-969866 au ani pm.
Gari aina ya Vitz yenye namba CJQ inauzwa, iko kwenye hali nzuri kabisa na ina mmiliki mmoja tu tangu iliponunuliwa.Bei ni sh. 5.8M ila inaongeleka.Kwa yule serious buyer anicheck kwenye whatsaap # 0757 - 969866 au ani pm.
Habar wadau!nauza Mayai ya kware, Nina uwezo wa kusupply tray 10 kwa siku, bei n shilingi 25000 kwa tray, kuanzia tray 5 n sh.20000.Pia kwa wale ambao hawajui faida za hay a mayai wanaweza Google,na kwa ufupi yanaongeza CD4,kupunguza cholestral,nguvu za kiume,obesity nk karibuni sana,ukihtaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.