Recent content by MIEMWA

  1. MIEMWA

    JamiiForums Tanzania Yuko Wapi Tanzagiza wa (Fb)?

    wasiojulikana walishampelea kusiko julikana
  2. MIEMWA

    JamiiForums Tanzania Nyalandu Kumpeleka Tundu Lissu Marekani Kwa Matibabu Zaidi.

    Ubarikiwe Nyalandu
  3. MIEMWA

    JamiiForums Tanzania Kipeperushi changu cha dawa za kulevya kimfikie Rais Magufuli

    Hongera kwa utafiti wa kina, vita hii inahitaji maandalizi ya kutosha na wapiganaji makini wenye uaminifu wa hali ya juu sana. Yatupasa kujipanga kimkakati, Ahsante
  4. MIEMWA

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mmiliki wa NAF Hotel Mtwara afariki dunia

    Nachojua mmiliki wa hotel hii ni mheshimwa BM
  5. MIEMWA

    JamiiForums Tanzania Sababu za kurejesha uhusiano na Israel hazina mantiki

    Ukitaka kuendelea katika nyanja zote basi shikamana Israel like ni taifa teule la Mungu Yehova. Waulize wamarekani siri ya nguvu na maendeleo yao. Huo ndio ukweli, ukubali ukatae ukweli utabaki kuwa hivyo. Ukimlaani Israel Mungu(Yehova) anakulaani
  6. MIEMWA

    JamiiForums Tanzania Mnawakumbuka watuma salamu maarufu redioni wa enzi hizo? Tujikumbushe kwa kuwataja...

    Saidi Akahova mkulima wa ming'oko Mtwara
  7. MIEMWA

    JamiiForums Tanzania Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    AMBOKILE BARAKA ODINARY DIPLOMA IN PRIMARY EDUCATION (SCIENCE) Hongera sana
  8. MIEMWA

    JamiiForums Tanzania Sherehe ya FGBF kutimiza Miaka 25 itafanyika 02.08.2014 hadi 09.08.2014.

    Itakuwa uwanja wa taifa mgeni rasmi Dr Jakaya Mrisho Kikwete washiriki wote watavaa suti nyeupe kuashilia amani palipo na Mungu
  9. MIEMWA

    JamiiForums Tanzania Walimu kata ya Mwandege, Wilaya ya Mkuranga walazimishwa kukukesha kwenye vigodoro!

    Mtwara Mikindani kwa Mkurugenzi mh Shimwela, mkesha ili kuwa ni idara zote zilizo chini ya mkurugenzi pamoja na wakuu wa idara.Mkurugenzi alianza kuitisha majina saa saba usiku. Kwa nini tulazimishwe kukesha, je huu ndio uzalendo? Walio buni kuwepo kwa mwenge wametuachia majanga na umasikini...
  10. MIEMWA

    JamiiForums Tanzania Afanya operesheni 150 na kutumia 250mil. ili afanane kama mdoli! [PHOTOS]

    Huko ni kumkufuru muumba, mungu amsamehe na kumfungu ufahamu wake ili ajuekuwa anachotenda si sahihi mbele za mungu
  11. MIEMWA

    JamiiForums Tanzania Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

    kitabu pekee duniani kimebadilisha wengi nikiwemo na mimi big up miku
Back
Top Bottom