Bahati mbaya wengi tunaandika billa kufikiri kwanza. Tungetazama tulikotoka na wapi tunatarajia kwenda. Katika Safari hiyo ni lazima tujenge msingi. Msingi madhubuti ni kuwa na Uongozi unaoweza kuonyesha njia. Wakati huu ambapo changamoto za kidunia ni kubwa na kuna kila hila ya mataifa...
Tafadhali uliza uwanja wa taifa unaingiza kiasi gani. Uliza pia kwanini zile mashine za kisasa za kukatia tiketi hazifanyi kazi. Crdb wali invest kwa millions mfumo ukafa na watu wanapiga dili. Just ask them kwasababu huu ni mchezo kama wa bandari unakataa technology kwa sababu nyepesi nyepesi.
Kulikuwa na matatizo matatu. Moja, katibu wa ccm wa mkoa ule haambiliki. Mbili mwakalebela alikuja na Ahadi ambazo mtekelezaji wake angekuwa Asas na si yeye. in fact hakuwa na dira madhubuti, na tatu ni pombi Jamani pombi ah!
LASEMA KAMA ANAO USHAHIDI WA WIZI WA FEDHA ZA PAPA AUTOE, WANASIASA WANAOCHAFUA WENZAO WAMEFILISIKA
Na Waandishi Wetu
KANISA Katoliki nchini limemtaka Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano wa Jamii), Stephen Wassira kutoa ushahidi kuthibitisha kama Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa...
Mujulizi in jaji kwa hilo jaji mkuu na tume ya mahakama inaweza kushughulika nae. Lakini huyu pia ni katibu wa. Tume ya kurekebisha sheria. Hapa Rais hana kizuizi cha kutengua uteuzi wake. Akiachwa hapo in hatari.
Ndugu zangu siku hizi public service ni vituko tu. Kila anaepata nafasi ni kula tu. Hakuna kinachofanyika. Ndio sababu unaweza kutumia watumishi na fedha.za umma kuitisha press conference za kutetea upuuzi bila kuulizwa. Angalia pia wabunge wetu wa ccm wanavyopumbazwa na walio katika serikali...
The whole lecture was stupid I have never heard. May be ana ubia kwenye Urais. A prudent professor would have stayed calm at this point in time rather than going out ejaculating
Mie alienichekesha zaidi ni waziri wa utumishi Celine Lombardi. Kwenye mapendekezo yake kama Mara Tatu anataja sheri a ya utumishi ya 2008. Nikasema Mungu Wangu. Kama sheria haijui anaongoza nini. Kuna sheria ya utumishi na 8 ya 2002
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.