Mapambano dhidi ya Ufisadi

Mapambano dhidi ya Ufisadi

Nsaji Mpoki

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2007
Posts
396
Reaction score
68
Nimekuwa nikitafakari kwa kina na kujiwa na wazo kuwa uchaguzi uliopita ulikuwa na agenda nyingine maalum ya kuhakikisha wapinga Ufisadi Mara Hii hawaingii bungeni. It was deliberate. Tazama Filikunjombe is no more. Sendeka, Kafulila, Kilango, Lembeli, Mtemvu, Wenje, Baruani, Mkosamali na Machali sasa watakuwa watazamaji.
 
tunamsubiri Magufuli afungue mahakama yake ya mafisadi.

Magufuli atakapoingia Ikulu na agundue au afahamu ama afahamishwe hao anaita mafisadi ni kina nani, Naamini ataufyata na sanasana ataungana nao!

Time will tell.
 
kwa watanzania kupambana na ufisadi si jambo muhimu ni kuwapa takrima wakati ukifika wakuchague ukipata fursa ya kufisadi take it.watakuelewa tu ukiwakatia.mjengoni utachoma.mkono mtupu haulambwi😛eace:
 
Nimekuwa nikitafakari kwa kina na kujiwa na wazo kuwa uchaguzi uliopita ulikuwa na agenda nyingine maalum ya kuhakikisha wapinga Ufisadi Mara Hii hawaingii bungeni. It was deliberate. Tazama Filikunjombe is no more. Sendeka, Kafulila, Kilango, Lembeli, Mtemvu, Wenje, Baruani, Mkosamali na Machali sasa watakuwa watazamaji.
na mtevu ana sifa za hao,its a joke
 
pesa ya ufisadi inategemewa sana na ccm kwa ajili ya kuhonga wapiga kura.
mpinga ufisadi ni adui namba moja wa CCM.
 
Back
Top Bottom