Recent content by Midimay

  1. Midimay

    Nikiwa na GPA YA 4.7 naweza pata chuo cha kufundisha?

    Lazima ushindane na wenzako kwanza. Sio direct kihivyo. Wapo wenzako wenye 4.5,4.6,4.7, 4.8,4.9,5 Hao wote ni wenzako.
  2. Midimay

    GE2025 Nasikiliza hotuba zake, hazina uhalisia

    Niliona toka siku ya uzinduzi. Yaani badala ya kunadi Sera, ananadi vitu specific ambazo zingekuwa zao la sera.
  3. Midimay

    wanasiasa wengi ni mabilionea wana ukwasi ambao hata Bakhressa na Mo wafanye biashara miaka miamoja hawawezi kuwafikia

    Hata Mataifa Makubwa ya Magharibi yaani UK, France, German na Italy wamepata utajiri na nguvu kupitia vita na ukoloni. Hakuna nguvu, pesa na uimara za kuja hivi hivi. Nguvu za US ni matokeo (descendants) ya mataifa hayo.
  4. Midimay

    wanasiasa wengi ni mabilionea wana ukwasi ambao hata Bakhressa na Mo wafanye biashara miaka miamoja hawawezi kuwafikia

    Pesa nyingi hazipataikani kwa kufanya biashara. Nakubaliana na wewe. Pesa nyingi hupatikana kwa kuchota, kuiba, kunyanga'anya. Ili mtu awe bilionea katika kizazi kimoja ni lazima aibe, adhulumu, achote, anyng'anye.
  5. Midimay

    Hivi mazoezi yanalainisha viungo vya mwili? Au ndio basi tena....

    Punguza kula wali na ugali. Kula protini kwa wingi. Mazoezi Fanya malaini hadi mwili utakapotamani magumu.
  6. Midimay

    Hivi mazoezi yanalainisha viungo vya mwili? Au ndio basi tena....

    Mwili ni 1. Aina za vyakula unavyokula. 2. Mazoezi
  7. Midimay

    Kipi ni Kiingereza sahihi kati ya Tanganyika Law Society na Law Society of Kenya?

    Other Examples: 1.National Examinations Council of Tanzania(NECTA). 2.Kenya National Examinations Council(KNEC) 3. Tanzania Communications Reg. Authority. 4. The Communication Authority of Kenya. Kwa hiyo uundaji wa majina na mara nyingi huongozwa na kifupi(Acronym) itakayoonekana rahisi kuliko...
  8. Midimay

    Kipi ni Kiingereza sahihi kati ya Tanganyika Law Society na Law Society of Kenya?

    Uundaji wa majina ni sanaa. Ni kama ushairi. Kwenye ushairi Lugha hupindishwa ili kuleta au kuficha maana lkn huboresha ushairi.
  9. Midimay

    Kipi ni Kiingereza sahihi kati ya Tanganyika Law Society na Law Society of Kenya?

    Hizo Phrase ni majina. Creation of names haihitaji usahihi kwa lugha saaaaana.
  10. Midimay

    KERO Kutozwa fedha kwa wanafunzi wanaohitaji kujifunza kwa vitendo katika taasisi za serikali ni sahihi na uungwana?

    Fee zote za serikali zipo structured. Ni predetermined. Kama wahusika wameibuka na kutoza tozo ambazo hazijaidhinishwa popote mfano Bodi ya Hospitali au Waziri mwenye dhamana, hiyo tozo ni batili.
  11. Midimay

    Rais Samia ameipandisha hadhi Halmashauri ya Bagamoyo kuwa mji

    Mchengerwa anaupambania mkoa wa Pwani haswa. Kibaha imekuwa Manispaa, Rufiji Mji na sasa Bagamoyo mji. Kuna miji kama Tukuyu, Karatu zina watu, uchumi na shughuli za kibinadamu kuliko hiyo miji lkn bado hazijapewa hiyo hadhi.
  12. Midimay

    Mkoa gani unaongoza kwa mbu Tanzania?

    Mikoa yetu ni kubwa kujiografia. Zina maeneo yenye tabia ya nchi tofauti. Mbu wanapenda kwenye ardhi oevu na joto kiaina. Arusha: Mto wa Mbu(Bonde la Ziwa Manyara) Mbeya: Wilaya ya Kyela karibu yote(Bonde la Ziwa Nyasa), Sehemu kubwa ya Wilaya ya Chunya. Morogoro: Ifakara na Mikumi Iringa: Ruaha...
  13. Midimay

    Hii hapa mikoa inayotegemewa na TRA kwa mapato ya Kodi

    Namba 2. Sijui kwanini mleta mada hajaweka jina.
Back
Top Bottom