Recent content by midida

  1. M

    NACTE wamebadilisha Selected kuwa Not Selected wakati mtu alisha confirm

    Wapendwa tembeleeni profile zenu kwa wale wote ambao walichaguliwa first round kozi ya Community Health pamoja na zingine... Na kama kuna mtu mwenye taarifa kuhusiana na hii hali ya NACTE atufahamishe.
  2. M

    Ufadhili wa vyuo mwaka huu.

    wakuu mwenye ufaham wa taarifa za ufadhil mwaka huu atujulishe 7bu wengine tunashindwa kuafford ada za vyuo tulivyo pangiwa.
  3. M

    Lowassa: Jitathmini sana kwani watanzania si wote wapumbavu

    lugha za mama zenu wa fisiem tohen humu mpeleke facebook
  4. M

    Anayefahamu contact za Murgwanza School of Nursing anisaidie

    wakuu kwa mwenye ufaham wa contact hzo anisaidie
  5. M

    community health joining instruction tujuzane hapa

    nisaidie contact za murgwanza school of nursing.
  6. M

    community health joining instruction tujuzane hapa

    tutaarifiane kwa wale wa community jins ya kupata joining instruction iwe chuo cha private au serikal.
  7. M

    Hongera waliochaguliwa kozi ya Community Health, NACTE

    nisha confirm ila kiukwel m pia sifaham vzur utendaji wake ukoje.
  8. M

    Selection za vyuo vya afya, Joining Instruction na taarifa kuhusu kozi za afya

    ustadhi juma au yeyote anayefaham hili anisaidie contact za murgwanza school of nursing kwani nimechaguliwa hapo in community health hivyo nahitaji joining instruction.
  9. M

    Hongera waliochaguliwa kozi ya Community Health, NACTE

    wale tuliochaguliwa murgwanza in community health joining instruction form tutazipata vp
  10. M

    Tutaarifiane kuhusu community health

    wakuu nimewaulza nacte kwenye ukurasa wao fb wamenjbu kuwa tuendelee kusubr selection kwan hata hvyo walikuwa wameongeza deadline 23/10/2015 hvyo wamedai tuwe na subra kwan muda haugandi.
  11. M

    Magufuli apigilia msumari kwa mafisadi

    usidanganyike kwan wameshindwa kujenga maabara kwenye mashule iweje hlo waweze usidanganyike niya yake n kura yako
Back
Top Bottom