Wapendwa tembeleeni profile zenu kwa wale wote ambao walichaguliwa first round kozi ya Community Health pamoja na zingine... Na kama kuna mtu mwenye taarifa kuhusiana na hii hali ya NACTE atufahamishe.
ustadhi juma au yeyote anayefaham hili anisaidie contact za murgwanza school of nursing kwani nimechaguliwa hapo in community health hivyo nahitaji joining instruction.
wakuu nimewaulza nacte kwenye ukurasa wao fb wamenjbu kuwa tuendelee kusubr selection kwan hata hvyo walikuwa wameongeza deadline 23/10/2015 hvyo wamedai tuwe na subra kwan muda haugandi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.