Brilliant. Jakaya Mrisho Kikwete, Kighoma Ally Maluma, January Makamba, kutolea mifano michache. Nao ni waislamu. Anasemaje mleta Uzi hapo
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Mimi sikubaliani na observation Yako. Labda kwa kiasi fulani upande wa Zanzibar lakini sio bara. Wapo waislamu wengi mno majina yao ya pili au hasa ya tatu ambayo ni ya ukoo, ni majina ya kiafrika kabisa. Nikisema nikutolee mifano ni mingi mno. Kwa upande wa Zanzibar ni kweli, Nako ni kwa sababu...
Mkuu ulichoongea ni sahihi kabisa. Kizazi hiki shida ni kubwa. Wanaomba hela utadhani wamelogwa. Yaani hamuwezi kusalimiana mara mbili ya tatu lazima akupige mzinga. Hasa vijana wa kike ndiyo usiseme. Hii sijui ni laana gani
Najua nasemea wengi 70% ya Watanzania ni chini ya miaka 25. Mpaka 35...
Mkuu umenikuna sana katika uzi wako huu. Binafsi kuna wanamuziki wawili ambao huwa naona nyimbo zao na uimbaji wao ulikuwa wa kutukuka. Hawa si wengine bali ni Hemed Maneti (Chiriku) wa Vijana Jazz na Marijani Rajabu (Jabali la Muziki). Bahati mbaya hawa wote wakuwahi kuwaona live wala picha...
Ni kweli ECOWAS wameshajitahidi lakini bado nao pia wana changamoto za kutosha sana tu kwani bado kuna conflict kibao ndani ya nchi zao na ufisadi mwingi, mfano Nigeria. Sarafu moja bado hawajaanza kutumia bado ni katika process tu japo wamepiga hatua. Na hilo sio suala rahisi kihivyo. Angalia...
Halafu hili jina lako bwn nalipendaga sana. Yaani ni kichekesho sana, halafu lina tia faraja kama mtu una majonzi. SALARY SLIP. Jamii Forum idumu jamani inatuondoleaga stress za maisha kwa kweli
Nimejaribu kufuatilia conversation na allegations zako dhidi ya hili kabila lililoletwa katika thread. Nimeisoma thread yenyewe, mleta mada hajaongelea saana tabia za wahusika unazowatuhumu nazo. Mategemeo yangu ilikuwa wengine tukijikite kujadili contents za thread, lakini mwenzetu umejikita...
Hizo vitamin ndo zinakufanya usiache au kuna kitu kingine. Naamini hizo vitamin unaweza kuzipata katika vyakula vingine. Wewe acha tu mkuu. Maana matokeo ya bia sio mazuri unapokuwa umezinywa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.