Ni ngumu kujudge uwezo wa dereva ukimpa gari bovu, matairi hayana upepo, engine inazima kila dk 5, steering wheel haiendi unakoipeleka, mafuta hayatoshi etc. Kifupi, kwa deficiencies za grid yetu (kuanzia kwenye generation hadi kwa mtu wa mwisho) sio rahisi kujua shida ni ya dereva/waziri au ya...