Mwanasiasa kawashutumu wanasiasa wengine ambao hajawataja wala hajatoa ushahidi.
Mtu yeyote anayemamini haya hadi kuumia moyo kuwa tumeibiwa namuonea huruma sana.
Sina details za revenues na matumizi ya TRC ila sidhani TRC wana mapato ya kutosha ya kudeal na tatizo la katikati ya Kilosa na Gulwe.
Kumbuka pale sehemu korofi sio moja na kuna vitu vingi vya kufanya pale. Kuna sehemu za kuhamisha reli, kuna sehemu za kujenga madaraja na kuna sehemu za...
MGR ni reli ya zamani sana. Ina zaidi ya miaka 100. Ilijengwa kwa matumizi ya muda ule ndio maana kwa sasa ni ngumu kuwa competitive. Ukianza kulist shida za MGR kwenye miundo mbinu na rolling stock hatuwezi kumaliza.
Mimi naona ni vigumu kujudge competence ya TRC management wakati miundombinu...
Ni ngumu kujudge uwezo wa dereva ukimpa gari bovu, matairi hayana upepo, engine inazima kila dk 5, steering wheel haiendi unakoipeleka, mafuta hayatoshi etc. Kifupi, kwa deficiencies za grid yetu (kuanzia kwenye generation hadi kwa mtu wa mwisho) sio rahisi kujua shida ni ya dereva/waziri au ya...
Ni kweli hakuna sheria inayozuia mamlaka za uteuzi kukuajiri na nina amini kama mtanzania una haki ya kuajiriwa na serikali.
Ila huoni kama ni sahihi zaidi kabla ya uteuzi wa mtu kushika nafasi za juu serikalini washindanishwe watanzania wenye nia na vigezo na yule mwenye kuwazidi wengine ndiye...
Watu wenye qualifications kama zako wako wengi hapa Tanzania na nafasi ya kamishna ni moja, what is special about you mpaka upewe wewe?
Mali kubwa kwa sasa ni uzoefu na ni kitu naona hauna. Unaweza kubeza suala la uzoefu lakini siku ukija kuingia kazini utaona tofauti ya experienced people and...
Umeme haujawahi kuwa wa uhakika Tanzania hii. Tumia Google uone how many times vyombo vya habari vimereport matatizo ya umeme since 2016 to 2021.
Pia angalia report za CAG za kipindi hicho.
Hawa wanaosema tatizo litaisha after JNHPP nao hawajui shida ni nini?
Biteko jana kasema kuna deficit...
Sasa ameondolewa tatizo limeisha? Kwa nini bado lipo?
Demand ya umeme ipo constant siku zote?
Climate ipo constantly favorable?
Kabla la January umeme haukuwahi kukatika?
Sijui kwa nini watanzania tunapenda kuscapegoat watu. Sasa January kaondoka, umeme umekuwa wa uhakika ghafla?
Tukubali na tuelewe kuwa tuna gap kubwa sana la miundombinu ya umeme kuanzia generation, transmission hadi distribution na solution ni strategic investment ya hela nyingi sana ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.