Recent content by Middle10

  1. Middle10

    Betting addiction inanipotezea utulivu kabisa

    Kutoka Feb mpaka tarehe 10 mwezi huu.. Kiasi nilichodeposit 789000 Kiasi nilichokula... 582000... Mambo ni mazito nmejaribu kutuliza wenge kwanza
  2. Middle10

    Tuambie uko wapi na unauza nini?

    Nilikwepa umande... Nauza nguvu ( jobless) Haya mwenye uhitaji wa kijana nipo hapa napumua tu
  3. Middle10

    Kwa Skimming bora ya Nyumba yako usisite kututafuta..

    naomba nifundishe kaz
  4. Middle10

    Eti mpaka leo bado kuna wanaume wanatapeliwa hela za nauli na za kutumiwa video za ngono

    wanapigwa tu maana sio Kila mwanaume ana ujasiri wa kutongoza..
  5. Middle10

    Matapeli wa Telegram walivyogonga mwamba kunitapeli

    Nimekutana nao mara 3 na zote nilikomba pesa zao... Wana utapeli wa kiboya mnoo.
  6. Middle10

    Wapi wanaongoza kwa ulozi kati ya Tabora, Kilimanjaro, Tanga, Katavi na Lindi?

    Toa k/ njaro weka mtwara hapo... Wamakonde ulozi wanaanza wakiwa wadunchu
  7. Middle10

    Ex wako wa mwisho, nini ilikuwaje sababu ya nyie kuachana/kukuacha/kumuacha

    Mchumba alichoka ahadi zisizotimizika kwa wakati... Haikua raisi, maana kweli nilimpenda na home alitimba..
  8. Middle10

    Mtu ameniblock na mimi nika mbock

    Wote mnachangamoto ya afya ya Akili...
  9. Middle10

    JamiiForums Usiku wa manane

    02:40 BoraUhai
Back
Top Bottom