Hawa wote nadhani ni ndugu na chimbuko lao ni nadhani ni Malawi,
Kuna Otis bushiri ,Kuna huyo mtalemwa,na yule wa S.afrika. wote wanatumia jina Bushiri
Najua mmepewa kibali, Ila kwa upande mwingine serikali itazame kwa wenye shida ya matatizo ya Moyo na wagonjwa wengine.
Mnapiga fataki Kati Kati ya jiji na hospitali zetu zipo ndani ya jiji,
Naomba serikali itazame hili jambo kwa Mara ya pili, mnatupa shida na kuleta usumbufu kwa wagonjwa .
Hapa muhimbili damu ni Bure,na mgonjwa wako atapewa damu Kama group la damu yake inapatikana.
Ila tunawaambia ndugu waweze kuchangia kwa mahitaji ya wagonjwa wengine,ili wengine pia wasikose. Damu ni Bure na mahitaji ya damu ni makubwa kwa hiyo tunaomba watu wawe na kawaida ya kuchangia damu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.